Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,380
Ilianza kama utani mitandaoni lakini ni wazi ni kitu kinachojijenga katika uhalisia wake
TFF (Tanganyika Freedom Fighters) Wapigania Uhuru Tanganyika (WAUTA)
Mwansilishi halisi hajulikani mpaka sasa lakini ni wazi ni kundi lenye vinasaba vyote na Gen-Z hasa baada ya yote yaliyotokea 0ctober 29 mpaka Nov 3 na mwendelezo wake
Ni kundi lenye lengo la kuikomboa Tanganyika toka mikononi mwa ccm (kundi la wachache) kupitia njia mbadala badala ya kwenye sanduku la kura kushindikana
Ni kundi linalozidi kujizolea umaarufu lakini lisilo na anuani rasmi mpaka sasa.. Na hata idadi ya wanachama haijulikani
Baadhi wanaliita ni kundi la waasi lakini hilo jina linazidi kukosa nguvu huku kundi la ukombozi likizidi kupata nguvu
Ukifuatilia mitandaoni ni kundi lenye uasisi chini ya Kapteni Tesha anayesemekana yuko hai, yuko salama nje ya Tanganyika, akiwa na support ya wanajeshi kadhaa walioasi jeshi na kwenda kuungana naye kuunda TFF
Inasemekana pia lina support kubwa ndani ya jeshi na ndani ya vyombo vingine vya usalama ambao hawakubaliani na yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu na yanayoendelea kutokea
Ukiacha hao kuna kundi kubwa la vijana wenye mwelekeo wa kulikubali kundi hilo kwa asilimia 100
Je ukweli wa TFF ni upi? Ni halisi au ni dhanifu?
Waswaheli wanasema lisemwalo lipo kama halipo linakuja!
Tuupe muda wakati
TFF (Tanganyika Freedom Fighters) Wapigania Uhuru Tanganyika (WAUTA)
Mwansilishi halisi hajulikani mpaka sasa lakini ni wazi ni kundi lenye vinasaba vyote na Gen-Z hasa baada ya yote yaliyotokea 0ctober 29 mpaka Nov 3 na mwendelezo wake
Ni kundi lenye lengo la kuikomboa Tanganyika toka mikononi mwa ccm (kundi la wachache) kupitia njia mbadala badala ya kwenye sanduku la kura kushindikana
Ni kundi linalozidi kujizolea umaarufu lakini lisilo na anuani rasmi mpaka sasa.. Na hata idadi ya wanachama haijulikani
Baadhi wanaliita ni kundi la waasi lakini hilo jina linazidi kukosa nguvu huku kundi la ukombozi likizidi kupata nguvu
Ukifuatilia mitandaoni ni kundi lenye uasisi chini ya Kapteni Tesha anayesemekana yuko hai, yuko salama nje ya Tanganyika, akiwa na support ya wanajeshi kadhaa walioasi jeshi na kwenda kuungana naye kuunda TFF
Inasemekana pia lina support kubwa ndani ya jeshi na ndani ya vyombo vingine vya usalama ambao hawakubaliani na yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu na yanayoendelea kutokea
Ukiacha hao kuna kundi kubwa la vijana wenye mwelekeo wa kulikubali kundi hilo kwa asilimia 100
Je ukweli wa TFF ni upi? Ni halisi au ni dhanifu?
Waswaheli wanasema lisemwalo lipo kama halipo linakuja!
Tuupe muda wakati