Anna pita
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 227
- 425
naombeni msaada ninakijana wangu anauza duka la dawa sasa hana elim ya kutosha kutoa huduma hiyo nimeambiwa kuwa hawa TFDA(Tanzania Food and Drug Authority) wanatoa mafunzo ya muda mfupi. naombeni mwenye uwelewa anielekeze zaidi na kwa hapa arusha hudma hiyo ipo? asanten