Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.
Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.
Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.
Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal
Source: Unpublished report of Dr................
Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.
Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.
Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal
Source: Unpublished report of Dr................