Tetesi :onyo kwa mashabiki wa arsenal

Kintiku

JF-Expert Member
Feb 3, 2011
617
319
Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.

Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.

Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.

Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal

Source: Unpublished report of Dr................
 
Ebwana huo utafiti ni wa ukweli kabisaaaaa!na nimeukubali haswa!mbona mfano mzuri ni wenger mwenyewe afya yake kila kukicha inazidi zorota utakuta mara aanze kuvua koti mara alegeze tai mara aanze kunywa maji hovyo utasema labda yeye ndiye anayecheza mara aanze kupiga mateke chupa ya ani hizo zote ni dalili za pressure na hata akili zake kama unakuwa makini sometimes unaona kabisa zinapoteza network.sasa njoo kwa vitoto vyake!mungu wangu kila siku vinadumaa badala ya kukua na wale waliobahatika kukua wanastuka na kukimbia na kiukweli msimu huu nina uhakika tutawizika mashabiki wengi wa arsenal na hata wenger sijui kama atamaliza msimu salama kutokana na matitizo hayo!
 
Mi nawaonea huruma sana ktk mechi ya kesho itakayopigwa 2:45pm ya hapo East Africa. Cha zaidi ni huyo doctor ajiandae kuwapokea wagonjwa wengi. Luisz Suaressssss!!!! Ndani ya nyumba. Patachimbika.
 
crap..! WATU WALIOANZA KUSHABIKIA MECHI JUZI UTAWAJUA TU..! ..players move....sisi wakongwe wa ushabiki tulishazoea..!
 
Mods hii ipelekwe kwenye lile jukwaa Jokes na Utani .. haijakaa ki sports !
 
kwa taarifa yako hakuna mashabiki wenye roho ngumu kama wa arsenal,liverpool hao unaowasema ni man u.
mfano ni fagason huyu mzee anatumia big g zenye dawa ya kubalansi mapigo ya moyo.
wenga ni mfano wa watu wenye afya nzuri duniani wengine ni putin,obama,sarkozy,maurinho nk.wenye bp fargason,mubarak,mfaransa aliyeondoka liva,na wengine wote wenye vitambi.
pumzisha hayo masaburi kwani unayachosha kwa kufikiri mashudu.
 
kwa taarifa yako hakuna mashabiki wenye roho ngumu kama wa arsenal,liverpool hao unaowasema ni man u.<br />
mfano ni fagason huyu mzee anatumia big g zenye dawa ya kubalansi mapigo ya moyo.<br />
wenga ni mfano wa watu wenye afya nzuri duniani wengine ni putin,obama,sarkozy,maurinho nk.wenye bp fargason,mubarak,mfaransa aliyeondoka liva,na wengine wote wenye vitambi.<br />
pumzisha hayo masaburi kwani unayachosha kwa kufikiri mashudu.
<br />
<br />
sijui wanakumbuka mechi yao ManYoo dhidi ya barca,mzee fergie atetema kama saddam anavishwa kitanzi.
 
Kwa kutambua hilo kesho FA wameandaa ambulance tatu spesho kwa ajili ya kuwahisha mashabiki wa Arsenal hospital. Ambulance mbili zitakuwa na cardiologists na mitambo ya huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyepata shambulizi la moyo.

Source: Yahoo!
 
Arsenal wamefanya tena- mashabiki watatu wameanguka uwanjani ambulance zimewabeba- mlioangalia mechi ya leo mmeona. Hapa Dar tunasubiri ripoti ya Muhimbili kesho
 
Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.<br />
<br />
Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.<br />
<br />
Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.<br />
<br />
Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal<br />
<br />
<b>Source: Unpublished report of Dr................</b>
<br />
<br />
whatever..! hata tufungwe mimi ni aseno sio maniyuuu.!
 
tuwe Wazalendo tuzipende timu ze2 hizo za wazungu tuwaachie wenyewe. Mie ni mshabiki wa Mapweza Fc
 
Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.

Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.

Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.

Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal

Source: Unpublished report of Dr................
Basi mwaka huu kwa mwenendo wa Arsenal FC mmmmmnnnhh wengi wao watakufa na high blood pressure
 
Mhh,

Jamani ilikuwa shughuli pevu maana mashabiki wa Arsenal badala ya kupata matatizo ya moyo tu, kufungwa huko kuliambatana na kuhara pia. It is the right time the man in charge to say gooodbye. Msipofanya shinikizo jamaa kuondoka mtaendelea kupata cardiac arrhythmia etc.
 
Wazungu hawapendi unene,wenger kaishi sn japan,kule chakula chao ni samaki na mboga mboga kwa wingi,Wafrika tunaamini kwenye vitambi na kunenepeana hadi unapumua ovyo ovyo kama...,aka tyson wa kulala bungen ndo kuwa na pesa.WENGER ana afya timamu kuzidi hata Fagie.
 
Dahh, huu utafiti una ka ukweli ingawa wa kutunga. Gozi langu toka jana limenuna na swaum hizi ndio usiseme, naogopa hata kumsemesha, hasira zake za kufungwa asinimalizie mimi.. lol.
 
Katika utafiti uliofanyika kwenye hospital ya Muhimbili, imebainika kuwa asilimia 80% ya watu wenye umri kati ya miaka 15- 57 nchini Tanzania wanaosumbuliwa na ugonjwa wa moyo ni mashabiki wa Arsenal.<br />
<br />
Kwa mujibu wa Dr Mwandamizi wa magonjwa ya moyo toka kitengo cha moyo (jina limehifadhiwa), alisema aliamua kufanya utafiti huo baada ya kuona wagonjwa wengi ambao wamekuwa wakifikishwa hapo wanakuwa wamevaa jezi za timu ya Arsenal, halafu wamekuwa wakijisonya sonya aah Wenger, Fabregas, Van Persie etc.<br />
<br />
Aligundua kuwa mioyo ya mashabiki wa Arsenal huwa juu juu sana timu yao inapocheza kwani hugongeana pasi sana na mtu hufikiri kuwa sasa wanafunga bao, hivyo kujiandaa kushangilia..............gooo gooo gooooo aaaaaaaaaaaaaaah, basi moyo unakuwa unapanda na kushuka kitu ambacho ni hatari sana . Hivyo wengi hujikuta wanapata magonjwa ya moyo.<br />
<br />
Katika utafiti huo alikuwa na sampuli ya wagonjwa 1,000 kutoka nchini kote, na 60% walisema wao ni mashabiki wa Arsenal<br />
<br />
<b>Source: Unpublished report of Dr................</b>
<br />
<br />
Utafiti wa kufikirika na wakijuha
 
Back
Top Bottom