Chunga maneno yako yasije kukutokea puani,kwani aliyekueleza ni ndugu yake,au kapigiwa simu toka India! alikopelekwa kwa matibabu,mbona hata waajiri wake hawajatangaza msiba,usimzushie mtu umauti kama hauna uhakika wala siyo jambo la kuulizia humu forums:A S 465: