Tetesi: Dr Wilbrod Peter Slaa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA!

Tetesi: Dr Wilbrod Peter Slaa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA!

Status
Not open for further replies.
acheni uongo wa namana hii, ukawa hatuna tabia ya kukurupuka, tuko very strategic
 




Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.

Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wa twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.
CREDIT:MILLARDAYO

Pamoja na kufurahia kwetu juu ya huyu Dr Slaa kuteuliwa, tuna jukumu kubwa la kushirki uchaguzi kwa njia nyingi,moja kwa moja,kwa kulinda kura,kuhamasisha jamii,kufadhiri wapiga kampeni kwa kuwapa hata maji ya kunywa na la mwisho ni kufichua kila ovu lenye kutishia ukombozi wa taifa letu.
 

Dr. wilbroad slaa


47 mins ·




Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda. Kura yako ni ukombozi.


attachment.php


 
kazi imeanza rasmi wabunge wengi madiwani wengi a rais
 
Hakika mungu ni mwema maana Dr. tuimani naye
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom