Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Baaasi wacha ccm wavurugane kwanza
Slaa ndo nan huyo?
Ngoja lipumba na mbatia waibukie kwenye media uone
Peoplesssss slaa ndo Anaweza kuongoza nchi
Kwani wa ccm ulikuwaje?
Kuna chamchakatohapo hakuna
[h=3][/h]
![]()
Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.
Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wa twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.
CREDIT:MILLARDAYO
si ndio unaendelea dodoma sasa hivi au? ujue nimeuliza kwakuwa wa kumpata Slaa sijausikia mahali
Hakuna cha mchakato ni ubabe tu wa chadema.
Nikauliza je ni lini CHADEMA walifanya process yandani kumpata mgombea? Au wanatafuta pingamizi?