Tetesi: Dr Wilbrod Peter Slaa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA!

Tetesi: Dr Wilbrod Peter Slaa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA!

Status
Not open for further replies.
Tulikuwa tunasubiri sana mpendwa wetu Dr Slaa ili utuambie kama upo tayari kutusaidia watanzania wenzio katika nafasi hiyo, kwani wele tuliowaachia nchi kwa mda mrefu wamegeuka kuwa wanyang'anyi.
 
Tunaimani naye jembe letu linaenda ikulu lipumba waziri mkuu.nchi ya neema inakuja.
 
Japo mchakato wa kumpata mgombea wa ukawa umefanyika seburen ila ntakupa kura yangu.nchi kutawaliwa na membe ni kikwete wa pili
 
kwa kutambua kuwa Tanzania hatuna chama cha kisiasa kilichoandikishwa kama UKAWA, kitakachofanyika baada ya kukubalika nani awe nani na katika ngazi ipi, kila chama katika muungano huo usiokuwa rasmi utafuata utaratibu wake wa Kikatiba kuteua wagombea katika kila ngazi - Udiwani, Ubunge na Rais. Bila shaka wakati wa kampeni ndipo watakapokuwa wanasimama kwenye jukwa moja kujinadi. Wanao wanasheria nguli ambao wanaelewa sheria na kanuni za uchaguzi. siyo busara kuanza kuwabashiria hili au lile.
 
Counter plan, trying to compete with ccm's psychological plans.
 
[h=3][/h]



Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba.

Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa wa twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA.
CREDIT:MILLARDAYO
Huyu dogo Millard anawaingiza chaka pro-Chadema.

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Naona dalili za UKAWA kufa zinaonekana Dr.Slaa kajitangaza bila wenzake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom