Labda UKAWA wanahisi nchi hii inahitaji spiritual intervension....Ukawa hawana sera
Intervension = Intervention?!
Hizi shule za DiV V ni sheeedaaaaa
Labda UKAWA wanahisi nchi hii inahitaji spiritual intervension....Ukawa hawana sera
CCM hata wamsimamishe Mzee Majuto Dr.Slaa hawezi kushinda.
Dr Slaa yuko juu bana sio sawa na Maembe, Dhaifu makufuli n.k....