MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,088
- 35,419
Shughulikieni kwanza nyumba yenu inayoungulia dom kwa ukiukwaji wa katiba ndo uulize kwa jirani.
Hapa ni kotekote
Shughulikieni kwanza nyumba yenu inayoungulia dom kwa ukiukwaji wa katiba ndo uulize kwa jirani.
Nitapiga debe mpaka Slaa haingie Ikulu. Nakubaliana na Sera zake
Hiyo ndo habari kui gazeti la Mtanzania la leo. Nunua utaona.
Katiba gani imetumika kumchagua?
Kamandivyo mpambano ushaiva ss
Lipumba atakubali....
Sio yale Mambo ya ATAKATWA kama nyumba ya Kuleeeee
Ikulu ya Ufipa Na chizi wenu MBOWE
Prof Lipumba vipi?