walles1474
New Member
- Oct 3, 2011
- 2
- 0
source plzzz
Hapa ni kotekote
Ikulu ya Ufipa Na chizi wenu MBOWE
Mchakato Wa kimyakimya
Hakuna cha katiba wala mchakato
Hureeeee!!!! Kiama cha CCM kimefika!!! Nakupenda Dr Slaa, nakuamini ...Mungu akubaliki!!
Prof Lipumba vipi?
Nimeshangazwa sana dokta (mchungaji wa kondoo) na Prof. (mtaalam wa uchumi) wamekoseaje kuteuwa wa kushika nchi hapa.
Hureeeee!!!! Kiama cha CCM kimefika!!! Nakupenda Dr Slaa, nakuamini ...Mungu akubariki!!
Hahaaaaa wenye akili wamekaa kimya ni mwendawazimu ndie atakae popoma.
Katiba gani ilitumika kuunda ukawa?
Kazi yako ndugu ni kupenda na kuchagua tu akishakaa madarakani utakua na kazi ya kumlaumu na kumchukia tu.
Habari zisizo rasmi zinadai kwamba hatimaye UKAWA wameafikiana kumsimamisha Dr Wilbrod Peter Slaa kuwa mgombea wao wa kiti cha urais kwaajili ya uchaguzi mkuu ujao mwezi October.
Source: Millard Ayo blog