Test ur IQ- part 5

Test ur IQ- part 5

Ntakacho fanya ni ku-asign majina yeyote to the switches, lets say "x","y" and "z" .
Then wakati bado nikiwa nje ntaiwasha switch "X" for a very long time, lets say 5 minutes na switch "Z" sitaiwasha kabisa then switch "Y" nitaiwasha one minute or less kabla ya kuingia.

Nikiingia kule ndani ntazigusa au kuusogeza mkono wangu karibu sana na zile bulb,

-ile bulb yenye joto kali sana itakua inaongozwa na switch "X" (reason bulb "X" itakua imewaka muda mrefu zaidi so itakua na joto zaidi kutokana na principles za umeme.

-Ile bulb yenye joto dogo itakuwa inaongozwa na switch "Y"

-Na ile bulb isiyokua na joto kabisa itakua inaongozwa na switch "Z"(Haitokua na joto coz haikuwasha kabisa)

KAMA NIMEPATA NIJULISHE!
 
Ntakacho fanya ni ku-asign majina yeyote to the switches, lets say "x","y" and "z" .
Then wakati bado nikiwa nje ntaiwasha switch "X" for a very long time, lets say 5 minutes na switch "Z" sitaiwasha kabisa then switch "Y" nitaiwasha one minute or less kabla ya kuingia.

Nikiingia kule ndani ntazigusa au kuusogeza mkono wangu karibu sana na zile bulb,

-ile bulb yenye joto kali sana itakua inaongozwa na switch "X" (reason bulb "X" itakua imewaka muda mrefu zaidi so itakua na joto zaidi kutokana na principles za umeme.

-Ile bulb yenye joto dogo itakuwa inaongozwa na switch "Y"

-Na ile bulb isiyokua na joto kabisa itakua inaongozwa na switch "Z"(Haitokua na joto coz haikuwasha kabisa)

KAMA NIMEPATA NIJULISHE!
umepataaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaas
 
BOFLO jibu hili.

Wapenzi wawili wameenda kutembea milimani kwa basi,katikati ya safari wakaomba kushuka wakati wanarudi,baada ya kushuka basi likaendelea baada ya muda kidogo jiwe likamomonyoka na kuangukia lile basi,abiria wote wakafa huku wakiona,

Wakasikitika na kusema bora wangekua kwenye lile basi,

Unadhani kwanini walitamani kuwepo kwenye lilr basi!?
Duh!! Yaani WALIKUFA wakiwa wanaona(impossible)(2)wakasikitika wakiwa wamekufa(impossible)(3)wakatamani kuwa kwenye basi huku wamekufa?????? Pull the mat off.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom