Tendwa: CCM inaporomoka na upinzani unakuwa kwa asilimia 40

Haya yamezungumzwa na mh Tendwa kuwa upinzani unakuwa kwa kasi ya 40 asilimia na magamba yanaporoka. Kuna watu humu jamvini wakiambiwa huwa wanabisha sana nadhani sasa wataelewa maana hata hao wakubwa wao wanalijua hilo. Source: Nipashe

Haya maneno ndio km yaliyosemwa humu kuhusu takwimu za igunga oooh 74% cdm watashinda, ambapo hali halisi sivyo watu wamelambishwa mchanga huku kidevu kiko chini mkia uko juu.
 
na bado watakoma chguzi zinakuja tu wakishaanza kuuana ndani ya bunge nafasi wazi zitatokea tutaendelea kusikia mengii
 
Tendwa amemua kuwafurahisha tu magwandwa lakini haimanishi anachokisema

upinzani co magwanda peke yake.je unaweza kupata watu 23elfu ndani ya week3?hayo ndiyo maajabu ya igunga na kukua kwa upinzani.subiri unyolewe.
 
[QUOTE=CUF Ngangari;huyu naye amegeuka Mtafiti,we mke wa ccm, kaoge mmeo anakusubiri kitandani akuongeze mimba ya pili
 
Haya maneno ndio km yaliyosemwa humu kuhusu takwimu za igunga oooh 74% cdm watashinda, ambapo hali halisi sivyo watu wamelambishwa mchanga huku kidevu kiko chini mkia uko juu.
unataka kusema hata uchaguzi wa igunga haujakufunza kitu kuhusu hilo la tendwa?,dah kama hvyo basi tena na wanamapinduzi wana kaz ngumu kwel kweli.
 
Tunataka kusikia upinzani umeingia ubia na kampuni la kufuwa umeme wa bei poa, kama alivyojaribu Mrema. Tunataka kuona upinzani unajenga shule bora za kuigwa japo moja kila mkoa kwa kuanzia, tunataka kuona upizani unaanzisha viwanda vya mfano, ambavyo watasema haya ndio mnayakosa kwa kuichaguwa CCM.

Kweli Tanzania imeingia hasara sikutegemea a person of ur calibre kuwa na mawazo potofu kama haya!!!!!!!! TANU na CCM walifua umeme wapi au walijenga viwanda vipi? Yaani haya mabo ya kikomunisti ndiyo unayahubiri in 2011? Acheni kuwadanganya wananchi kazi ya chama cha siasa ni kutengeneza sera si kujenga viwanda au kufua umeme. Sishangai kwa nini Tanzania inaendelea kuwa masikini kama mitizamo yenyewe ndiyo hii.

Hebu tupe mifano ya vyama ambavyo havijawahi kuunda serikali vinavyofanya shughuli hizo.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kitu kimoja kizuri sana ambacho kitaiendeleza Tanzania ni kuwa na upinzani wa kweli, hiyo ni faraja na neema kwa kila Mtanzania, lakini si upinzani kama wa CHADEMA, upinzani wa kuongelea watu badala ya sera.

Kwa kuwa Tanzania bado ni mwanjo mwanjo katika siasa za vyama vingi, kila mtu anawaona magamba kwa sasa wamaana sana kwa kuwa wanachokiona ni wao kwa mara ya kwanza ndio hicho cha kuongelea watu, Watanzania ni kama vipofu tilioona punda. Lakini, kizuri ni kuwa watu wameshaanza kujuwa siasa maji taka ni nini na siasa za maendeleo ni nini, siasa maji taka ni turufu ya ya garasa, turufu ya mali ni siasa za kuleta maendeleo kwa vitendo. Hakuna mpaka sasa chama pinzani kilichoonesha haswa namna yakutatuwa matatizo yanayomkabili Mtanzania kila siku, wapinzani kila kukicha, Rostam, Kingunge, Makamba, Januari, Februari. Ni nini hii?

Tunataka kusikia upinzani umeingia ubia na kampuni la kufuwa umeme wa bei poa, kama alivyojaribu Mrema. Tunataka kuona upinzani unajenga shule bora za kuigwa japo moja kila mkoa kwa kuanzia, tunataka kuona upizani unaanzisha viwanda vya mfano, ambavyo watasema haya ndio mnayakosa kwa kuichaguwa CCM.

Leo upinzani umekazana Rostam, Rostam, Rostam, Rostam. Huyo Rostam amekuwa mkubwa kuliko upinzani wote, anatisha kwa kutukuzwa na upinzani, kama mnajuwa ana madhambi mbona hatuwaoni mkampeleka mahakamani? au mnaogopa atawaadhiri kama alivyomwadhiri Mtikila?

Hakuna wa kusifiwa kwa kuuboresha upinzani katika Tanzania kama Kikwete, yeye ndio alioahidi kuikuza demokrasi na kweli anafanya hivyo, kwa wengine hatuoni ajabu, ila tunachostaajabu tunapoona upinzani umepewa fursa kubwa sana katika awamu hii lakini hawazitumii ipasavyo, wao wamebaki na ngonjera za Rostam.
Ndiyo maana naamini 100% hii id huwa mnatumia watu wengi maana consistency katika michango yako hakuna. Jana nimesikitika sana kuona ofisi za kitengo fulani kilicho chini ya wizara ya kilimo kikifungiwa ofisi zao na maafisa wa shirika la nyumba kwa kushindwa kulipa milioni 30 kodi ya pango ya miezi 15........yaani serikali inashindwa kulipa milioni 30? hivi kodi zetu zinatumika kwenye nini?
Nilichokuwa nataka kujua hapa ni kwamba CHADEMA watoe wapi hizo hela za kuingia ubia na kampuni yeyote ile? unataka sisi wanachama ndiyo tuchange hiyo hela? kwa nini usinge suggest labda wapewe wizara fulani na watumie hizihizi kodi zetu kuonyesha jinsi watavyoleta maendeleo?
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kitu kimoja kizuri sana ambacho kitaiendeleza Tanzania ni kuwa na upinzani wa kweli, hiyo ni faraja na neema kwa kila Mtanzania, lakini si upinzani kama wa CHADEMA, upinzani wa kuongelea watu badala ya sera.

Kwa kuwa Tanzania bado ni mwanjo mwanjo katika siasa za vyama vingi, kila mtu anawaona magamba kwa sasa wamaana sana kwa kuwa wanachokiona ni wao kwa mara ya kwanza ndio hicho cha kuongelea watu, Watanzania ni kama vipofu tilioona punda. Lakini, kizuri ni kuwa watu wameshaanza kujuwa siasa maji taka ni nini na siasa za maendeleo ni nini, siasa maji taka ni turufu ya ya garasa, turufu ya mali ni siasa za kuleta maendeleo kwa vitendo. Hakuna mpaka sasa chama pinzani kilichoonesha haswa namna yakutatuwa matatizo yanayomkabili Mtanzania kila siku, wapinzani kila kukicha, Rostam, Kingunge, Makamba, Januari, Februari. Ni nini hii?

Tunataka kusikia upinzani umeingia ubia na kampuni la kufuwa umeme wa bei poa, kama alivyojaribu Mrema. Tunataka kuona upinzani unajenga shule bora za kuigwa japo moja kila mkoa kwa kuanzia, tunataka kuona upizani unaanzisha viwanda vya mfano, ambavyo watasema haya ndio mnayakosa kwa kuichaguwa CCM.

Leo upinzani umekazana Rostam, Rostam, Rostam, Rostam. Huyo Rostam amekuwa mkubwa kuliko upinzani wote, anatisha kwa kutukuzwa na upinzani, kama mnajuwa ana madhambi mbona hatuwaoni mkampeleka mahakamani? au mnaogopa atawaadhiri kama alivyomwadhiri Mtikila?

Hakuna wa kusifiwa kwa kuuboresha upinzani katika Tanzania kama Kikwete, yeye ndio alioahidi kuikuza demokrasi na kweli anafanya hivyo, kwa wengine hatuoni ajabu, ila tunachostaajabu tunapoona upinzani umepewa fursa kubwa sana katika awamu hii lakini hawazitumii ipasavyo, wao wamebaki na ngonjera za Rostam.

Sawa mkuu tumekupata vizuri. Tunaomba urudi jamvini na mifano japo michache tu ya nchi yoyote duniani ambapo upinzani ulijenga viwanda, ukafufua ajira, ukajenga mashule na ukaleta wawekezaji halafu ubishi wetu utaisha.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Huyu Tendwa si ndio wale wale! Binafsi naamini CHADEMA INAKUA KWA KASI SANA ZAIDI HATA YA ASILIMIA ZAKE!
 
Tendwa nae ameanza kutumia masaburi kufikiria! Uchaguzi wa Udiwani tarehe 2/10/2011 kati ya kata 22 CCM wameshinda kata 17 na Magwanda kata 5 tu! Ongeza na Jimbo la Igunga CCM wamechukua sasa hapo anatumia takwimu gani kuwapandisha Magwanda! Hahahaha Tendwa Msanii ameona awapoze Magwanda kwani amewajulia wanapenda kupewa habari za matumaini!
 
Kitu kimoja kizuri sana ambacho kitaiendeleza Tanzania ni kuwa na upinzani wa kweli, hiyo ni faraja na neema kwa kila Mtanzania, lakini si upinzani kama wa CHADEMA, upinzani wa kuongelea watu badala ya sera.

Kwa kuwa Tanzania bado ni mwanjo mwanjo katika siasa za vyama vingi, kila mtu anawaona magamba kwa sasa wamaana sana kwa kuwa wanachokiona ni wao kwa mara ya kwanza ndio hicho cha kuongelea watu, Watanzania ni kama vipofu tilioona punda. Lakini, kizuri ni kuwa watu wameshaanza kujuwa siasa maji taka ni nini na siasa za maendeleo ni nini, siasa maji taka ni turufu ya ya garasa, turufu ya mali ni siasa za kuleta maendeleo kwa vitendo. Hakuna mpaka sasa chama pinzani kilichoonesha haswa namna yakutatuwa matatizo yanayomkabili Mtanzania kila siku, wapinzani kila kukicha, Rostam, Kingunge, Makamba, Januari, Februari. Ni nini hii?

Tunataka kusikia upinzani umeingia ubia na kampuni la kufuwa umeme wa bei poa, kama alivyojaribu Mrema. Tunataka kuona upinzani unajenga shule bora za kuigwa japo moja kila mkoa kwa kuanzia, tunataka kuona upizani unaanzisha viwanda vya mfano, ambavyo watasema haya ndio mnayakosa kwa kuichaguwa CCM.

Leo upinzani umekazana Rostam, Rostam, Rostam, Rostam. Huyo Rostam amekuwa mkubwa kuliko upinzani wote, anatisha kwa kutukuzwa na upinzani, kama mnajuwa ana madhambi mbona hatuwaoni mkampeleka mahakamani? au mnaogopa atawaadhiri kama alivyomwadhiri Mtikila?

Hakuna wa kusifiwa kwa kuuboresha upinzani katika Tanzania kama Kikwete, yeye ndio alioahidi kuikuza demokrasi na kweli anafanya hivyo, kwa wengine hatuoni ajabu, ila tunachostaajabu tunapoona upinzani umepewa fursa kubwa sana katika awamu hii lakini hawazitumii ipasavyo, wao wamebaki na ngonjera za Rostam.

Naongezea = Tunataka kuona serikali ya CCM inasaidiwa na upinzani kwa hayo uliyosema ili baadaye iseme iliandaa mnazingira ya upinzani kufanya hayo ikiwa ni pamoja na kutoa vibali. Heheheeeee! Siku zote najua wewe una upeo mfupi wa kufikiri lakini leo umeshuka mno. Kati ya tikiti na boga kipi nafuu? Unatumia kichwa cha kimojawapo ya hivyo.

Hivi anayekusanya kodi ni nani? Upinzani ufanye hayo kwa kutumia pesa kutoka wapi? Mbona CCM hawaanyi hayo? Kama ni ruzuku si CCM wanapata, tena nyingi tu. Je, wamejenga shule ngapi? Naomba niwe wazi kabisa kuwa yanayofanywa na serikali ya sasa hayafanywi na CCM hata kama serikali inatokana na CCM. Maana ya kuongoza serikali ni ridhaa ya kutumia rasilimali zilizopo kwa manufaa ya wananchi. CHADEMA wanalia na RA na wenzake kwa sababu wanatumia nafasi walizonazo kujinufaisha kwa rasilimali zetu sote.
 
Tendwa amemua kuwafurahisha tu magwandwa lakini haimanishi anachokisema

Naweza kukubaliana na wewe maana hizo ndo zenu magamba. Hata mwenyekiti wenu aliposema mnajivua gamba hakumaanisha. Masikini Nape na Chiligati wakadhani ni kweli wakaanza kuropokaropoka, sasa wanaganga majeraha.
 
Back
Top Bottom