Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,498
- 4,685
Wasalaam, tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwakani naona viongozi wa CCM na WABUNGE wake wameanza kulamba chakula walichokula wakavibiwa Kisha kukitabika.
WABUNGE na viongozi wa CCM WALIPITISHA KIKOKOTOO katili dhidi ya watumishi wa umma huku wao wakichukua asilimia Mia ya mafao yao na kufurahia maisha.
Leo hii inashangaza WABUNGE walewale na viongozi walewale wa CCM wanawaona wadanganyika ni mazombi wanapiga kelele eti KIKOKOTOO kinaumiza watumishi wa umma km sio utapeli wa kisiasa ni Nini? Na wanafanya hivi ili waonewe huruma kwenye sanduku la KURA na hao hao watumishi wa umma, Hii ndo Tanganyika bwana bado ahadi za mei mosi
WABUNGE na viongozi wa CCM WALIPITISHA KIKOKOTOO katili dhidi ya watumishi wa umma huku wao wakichukua asilimia Mia ya mafao yao na kufurahia maisha.
Leo hii inashangaza WABUNGE walewale na viongozi walewale wa CCM wanawaona wadanganyika ni mazombi wanapiga kelele eti KIKOKOTOO kinaumiza watumishi wa umma km sio utapeli wa kisiasa ni Nini? Na wanafanya hivi ili waonewe huruma kwenye sanduku la KURA na hao hao watumishi wa umma, Hii ndo Tanganyika bwana bado ahadi za mei mosi