Ten most powerful people in Tanzania!

Ten most powerful people in Tanzania!

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful ni hawa.

1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.

Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.

Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond.

Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.

Je unafikiri nani anastahili kuwemo? nani hastahili??

Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????
 
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful

ni hawa. 1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.
Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.
Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond..
Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.


Je unafikiri nani anastahili kuwemo???nani hastahili??
Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????

Mkuu sikubaliani na wewe kbaisa naona umepanga mpangilio wa wala pesa yawalipa kodi, yaani nani anamkato na marupu rupu mengi na mwizi mzuri, lakini the most poweful Tanzanians huo mpangilio haumo labda tupe vigezo. Unajua Nguvu aliyonayo mathalan Muhashamu Kadinali Pengo? kuna wengi tu wanokubalika na watu sio kwa nadharia tu, watu wapo tayari kuambiwa na huyo mtu wafe wakafa bila hata kuuliza why?
 
Mkuu sikubaliani na wewe kbaisa naona umepanga mpangilio wa wala pesa yawalipa kodi, yaani nani anamkato na marupu rupu mengi na mwizi mzuri, lakini the most poweful Tanzanians huo mpangilio haumo labda tupe vigezo. Unajua Nguvu aliyonayo mathalan Muhashamu Kadinali Pengo? kuna wengi tu wanokubalika na watu sio kwa nadharia tu, watu wapo tayari kuambiwa na huyo mtu wafe wakafa bila hata kuuliza why?


ok tuanze na pengo,
wakatoliki wako wangapi??karibu walokole wote walikuwa wakatoliki
but now ni walokole na hawamsikilizi pengo.

halafu hao watu ni powerfull regardless kama
wanapendwa au hawapendwi...
wana nguvu za kiserikali na kidola au za kichama ambacho kinatawala
sizungumziii watu wanaokubalika na kupendwa na watanzani.
bush alikuwa hapendwi na watu ndani na nje ya marekani
but he was the most powerfull man in the world,umenipata??????
 
JK
RA
EL

Bakhresa
Askofu Kakobe
Askofu Kulola
Mchungaji Lwakatare
Sheikh Yahaya
Mtume Mwingira
K.Pengo
Mkapa
Mwinyi


Katika list yako hapo juu

Hao wengine wahesabu maumivu!
 
Boss kuna haja ya kutenganisha kati ya influential and powerful figures
 
Rostam Azizi (Richmond/Dowans & Kagoda)
Vijisenti Chenge (Rada)
Idrissa Rashid (Rada)
Mkapa (Rada, EPA, Ndege ya Rais, Kiwira, Kuuza nyumba za ST, mikataba ya madini, kuuza NBC, kufanya biashara Ikulu n.k)
Jeetu Patel (EPA & Kilimo Kwanza)
Yussuf Manji (EPA & NSSF)
Subhash Patel (EPA )
Karamagi (Buzwagi & TICTS)
Yona (Kiwira)
Makamba (Jengo la UVCCM na kwenda kuchota kila kukicha kwa akina Manji na wengineo)


Hawa wote ni mafisadi na hakuna hata mtu ambaye atakayethubutu kuwagusa
IMO, JK is not among the most powerful people in Tanzania otherwise nchi isingeenda mrama. He may appear to be one of the most powerful people in Tanzania due to his position but in reality that is not true.
 
"Simple men discuss people, while great men discuss ideas"
 
There are the people who run the city and the people who run the people who run the city. Hao ulio wataja mkuu ndiyo tunao waona ila nina uhakika kuna watu behind the doors ambao wanaweza kuwa na nguvu zaidi ya hao sema hawaonekani. You might be surprised.
 
there are the people who run the city and the people who run the people who run the city. Hao ulio wataja mkuu ndiyo tunao waona ila nina uhakika kuna watu behind the doors ambao wanaweza kuwa na nguvu zaidi ya hao sema hawaonekani. You might be surprised.

kabisa.
 
It depends with your conception of power. The classical definition of power in political science is - the ability of A to get B do what B wouldn't otherwise done. Power may be exercised through an act of violence , withholding rights/opportunities, threat etc. This is the most mechanical way of exercising power. The most sophisticated way of exercising power is perception - the perception B has over A-therefore making B to submit to B ( the case of Africans to Wazungu). There is a form of power called latent power applied so latently- in this case the power of the religious leaders through their institutions. Because of their integrity, consciousness, God fearing tendencies and the services they offer to the society. The guys you have mentioned above like Jeetu et al they occupy high social class but not necessary social status. Social status is drawn and judged from your humbleness and integrity. It is the latent form of power that moves mountains. You can definitely buy a social class but not social status. You engange yourself in corruption, drugs business and buy a social class easily by shifting your residence to Masaki but yet you can not buy social status because you are accorded that by the faithfuls in the sociaty.
 
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful

ni hawa. 1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.
Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.
Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond..
Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.


Je unafikiri nani anastahili kuwemo???nani hastahili??
Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????
Kwa mtazamo wangu ni ,
1.Mizengo Pinda
2.Magufuli John
3.Anne Killango
4.Samuel Sitta
5.Edward Hoseah
6.Jakaya Kikwete
 
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful

ni hawa. 1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.
Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.
Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond..
Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.


Je unafikiri nani anastahili kuwemo???nani hastahili??
Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????

Nadhani, kuna hivi vitu vitatu katika jamii yoyote ya watu; "Money, Power and Respect". Siku zote vitu hivi havitokei mtu akawa navyo kwa ukamilifu kwa pamoja, lazima kutakuwa na utofauti wa kukilimiwa.Kuna wale wenye nguvu ya Pesa na wengine nguvu ya ki-siasa/madaraka, alikadhalika heshima aliyonayo mtu kwa jamii inayomzunguka.
Sasa katika hiyo list yako ambayo nafikili ume-base sana sana kwa wanasiasa haiwezi ikatoa jibu la moja kwa moja kwamba hao ndio wenye nguvu zaidi katika jamii yetu kuliko watanzania wote zaidi ya millioni 40.
Kuna watu humu bwana, wapo kimnyaa tuu lakini sio mchezo!!
 
Rostam Azizi (Richmond/Dowans & Kagoda)
Vijisenti Chenge (Rada)
Idrissa Rashid (Rada)
Mkapa (Rada, EPA, Ndege ya Rais, Kiwira, Kuuza nyumba za ST, mikataba ya madini, kuuza NBC, kufanya biashara Ikulu n.k)
Jeetu Patel (EPA & Kilimo Kwanza)
Yussuf Manji (EPA & NSSF)
Subhash Patel (EPA )
Karamagi (Buzwagi & TICTS)
Yona (Kiwira)
Makamba (Jengo la UVCCM na kwenda kuchota kila kukicha kwa akina Manji na wengineo)


Hawa wote ni mafisadi na hakuna hata mtu ambaye atakayethubutu kuwagusa
IMO, JK is not among the most powerful people in Tanzania otherwise nchi isingeenda mrama. He may appear to be one of the most powerful people in Tanzania due to his position but in reality that is not true.
Pamoja na kutomtaja EL ngoja Nikusaidie madili ya Richmond na mengine yote makubwa ambayo RA alishiriki EL alishiriki. Kama unajifanya unataka kuleta unafiki wakumtetea haiwezekani. EL ni mwizi wa nchi hii.
 
Mkuu Kilimo Kwanza kinaingiajeingiaje hapo - kwa fedha za EPA?




Jeetu Patel mkuu anakesi ya EPA inaenedelea huku ameshinda zabuni ya kuleta matrekta ya bilioni 50 kwa ajili ya kutekeleza kilimo kwanza !!!!!!!!!!!!!! upo hapo mkuu
 
Back
Top Bottom