Ten most powerful people in Tanzania!

Ten most powerful people in Tanzania!

daaah jamani kwa hapo mimik sina la kusema kabisa lakin kwa jinsi ninavyoona ni kama hawa jamaa waliotoa list wako sahihi kinachotofautiana ni mtazamo tu!!
 
Msimamizi wa JF anatakiwa kuwa makini sana na mapandikizi ya ze utamu humu, We have so muchto discuss here brothers:
Wabunge posho mbili
Mawaziri posho mbili
Barabara za vumbi kwa sababu ya posho mbili
Mawaziri magari binafsi na magari ya serikali, mafuta kila upande huku watoto wa masikini wakikopeshwa asilimia 40 tu ya ada ya chuo kikuuu.
Wagonjwa hospitali hawana madaktrai wala manesi wa kuwahudumia kwa sababu ya mishahara midogo.
Umeme wa mgao kwa sababu mtu hatendi kazi zake sawsawa.
Foleni ya masaa mawili Dar es salaamu kwenda kazini kwa sababu kuna watu wanapokea posho mbili na hawaoni hili kama tatizo.
Bei ya Petroli, Dizeli, Mafuta ya Taa na Gesi juu bila sababu za msingi.
Inflation inayofikia asilimia kumi na mbili kutoka asilimia nne bila sababu za msingi.
Bei ya chakula kuongezeka kila kukicha kwa sababu mtu anashauriwa na m............w..............


NA MENGINE MENGI.#

Yote haya ni hoja za kujadili hapa, sasa inakuwaje mnakubali huu ujinga? ( Siyo Upumbavu kwa sababu ni kipaji)
 
Mkuu Kilimo Kwanza kinaingiajeingiaje hapo - kwa fedha za EPA?

Huyu Jeetu pamoja na kuwa ana kesi nzito ya EPA cha kustaajabisha eti ndiye aliyeshinda zabuni ya kusambaza matrekta ya Kilimo Kwanza nchi nzima. Kama mimi ningekuwa mwenyekiti wa kamati ya kuzitathmini zabuni zilizopokelewa huyo Jeetu zabuni yake wala isingeenda kokote kutokana na sababu zilizo wazi kwamba ni fisadi, lakini ndiyo hivyo tena nchi yetu imeshikwa na mafisadi hawana woga wala aibu ya kufanya madudu yao waziwazi.
 
"Simple men discuss people, while great men discuss ideas"

Yeah! but it is impossible to discuss ideas in our beloved country wakati nchi imeshikwa na mafisadi for more than 10 years now. Tell me how do you discuss ideas with fisadis who are there to destroy our beloved country!? Which ideas can we discuss while nchi imegubikwa na ufisadi!?
 
Rostam Azizi (Richmond/Dowans & Kagoda)
Vijisenti Chenge (Rada)
Idrissa Rashid (Rada)
Mkapa (Rada, EPA, Ndege ya Rais, Kiwira, Kuuza nyumba za ST, mikataba ya madini, kuuza NBC, kufanya biashara Ikulu n.k)
Jeetu Patel (EPA & Kilimo Kwanza)
Yussuf Manji (EPA & NSSF)
Subhash Patel (EPA )
Karamagi (Buzwagi & TICTS)
Yona (Kiwira)
Makamba (Jengo la UVCCM na kwenda kuchota kila kukicha kwa akina Manji na wengineo)


Hawa wote ni mafisadi na hakuna hata mtu ambaye atakayethubutu kuwagusa
IMO, JK is not among the most powerful people in Tanzania otherwise nchi isingeenda mrama. He may appear to be one of the most powerful people in Tanzania due to his position but in reality that is not true.

1.Mengi-NBC
 
Watu powerful ni wale ambao Rais mpya anawachagua anapoingia madarakani.
 
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful

ni hawa. 1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.
Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.
Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond..
Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.


Je unafikiri nani anastahili kuwemo???nani hastahili??
Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????


Hii yako si sawa isipokuwa hii apa:
1. Freeman Mbowe
2. Willbroad Slaa
3. Zitto Kabwe
4. Tundu Lissu
5. John Mnyika
6. Mzee Ndesambulo
7. Halima Mdee
8. Lwakatale
9. Sambwee Shitambala
10. Mbogolo wa Songea
 
Eti Mtume Mwingira.. people have no shame but I guess we are somehow in the middle ages kibongo bongo..lol
 
msimamizi wa jf anatakiwa kuwa makini sana na mapandikizi ya ze utamu humu, we have so muchto discuss here brothers:
Wabunge posho mbili
mawaziri posho mbili
barabara za vumbi kwa sababu ya posho mbili
mawaziri magari binafsi na magari ya serikali, mafuta kila upande huku watoto wa masikini wakikopeshwa asilimia 40 tu ya ada ya chuo kikuuu.
Wagonjwa hospitali hawana madaktrai wala manesi wa kuwahudumia kwa sababu ya mishahara midogo.
Umeme wa mgao kwa sababu mtu hatendi kazi zake sawsawa.
Foleni ya masaa mawili dar es salaamu kwenda kazini kwa sababu kuna watu wanapokea posho mbili na hawaoni hili kama tatizo.
Bei ya petroli, dizeli, mafuta ya taa na gesi juu bila sababu za msingi.
Inflation inayofikia asilimia kumi na mbili kutoka asilimia nne bila sababu za msingi.
Bei ya chakula kuongezeka kila kukicha kwa sababu mtu anashauriwa na m............w..............


Na mengine mengi.#

yote haya ni hoja za kujadili hapa, sasa inakuwaje mnakubali huu ujinga? ( siyo upumbavu kwa sababu ni kipaji)

wewe una tatizo la kuelewa.....
Huwezi discuss power tanzania bila kutaja the powerfull ones
and why????
Hii topic sio level yako naona.
Huwezi tenganisha watu na ideas
jaribu kuelewa na sio kukariri
 
yeah! But it is impossible to discuss ideas in our beloved country wakati nchi imeshikwa na mafisadi for more than 10 years now. Tell me how do you discuss ideas with fisadis who are there to destroy our beloved country!? Which ideas can we discuss while nchi imegubikwa na ufisadi!?


bubu nashkuru kwa kuelewa..
Watu wanafikiri kuwa obssesed na habari za kuwaponda
mafisadi ndio la maana,
wakati kutatua tatizo ni pamoja na kulitazama
kwa upana wake...

Weather hawa watu ni mafisadi au sio mafisadi
suala la kwamba wao ni powerfull ni fact na sio fiction
hata kama hatuwapendi na tunawachukia,the fact kwamba
the practically run this nation haibadiliki.
 
hatuwezi kujadili "upumbafu" kama huu.kuna mambo mengi sana ya kujadili juu ya mustakabari wa taifa letu.
 
Back
Top Bottom