Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Mkuu Kilimo Kwanza kinaingiajeingiaje hapo - kwa fedha za EPA?
Componero heshima mbele mkuu,
Vipi mbona unasahau mapema kiongozi, JEETU ndiye aliyepewa tenda mwezi uliopita na serikali ya Tanzania kuleta matreka ya kilimo kwanza yenye dhamani ya over 50 billion tsh ($50million), wakati huo huo ni mtuhumiwa wa kesi ya EPA, who run this poor country jamani.....can someone tell me.?
MJ