Ten most powerful people in Tanzania!

Mkuu Kilimo Kwanza kinaingiajeingiaje hapo - kwa fedha za EPA?

Componero heshima mbele mkuu,

Vipi mbona unasahau mapema kiongozi, JEETU ndiye aliyepewa tenda mwezi uliopita na serikali ya Tanzania kuleta matreka ya kilimo kwanza yenye dhamani ya over 50 billion tsh ($50million), wakati huo huo ni mtuhumiwa wa kesi ya EPA, who run this poor country jamani.....can someone tell me.?

MJ
 
Mkuu Kilimo Kwanza kinaingiajeingiaje hapo - kwa fedha za EPA?


Kwani hujui Pesa ya EPA imepelekwa kilimo kwanza, na JEET PATEL ndiye ameshinda tender ya kuagiza matrekta nchi nzima kwa kutumia pesa ile ile ya EPA iliyorudishwa!!!!!!!! eheheheheh kalaga baho!!
 
Kwani hujui Pesa ya EPA imepelekwa kilimo kwanza, na JEET PATEL ndiye ameshinda tender ya kuagiza matrekta nchi nzima kwa kutumia pesa ile ile ya EPA iliyorudishwa!!!!!!!! eheheheheh kalaga baho!!

Hapana mkuu usiupotoshe uma wa JF, tenda aliyopewa Jeetu kwa ajili ya ununuzi wa matrekta ya kilimo kwanza ni msaada uliotolewa na serikali ya India $50mil na siyo hela ya EPA.
 
"Simple men discuss people, while great men discuss ideas"

Indeed. The motto for JamiiForums reads: "The Home of Great Thinkers". It is a pity to start discussing individuals who are powerful and not. It depends in what context you are discussing power. Next time tutaanza kuzungumzia katika jamvi nani pedejee zaidi na nani mdogo. With ideas like these who needs mediocrity?
 
There are the people who run the city and the people who run the people who run the city. Hao ulio wataja mkuu ndiyo tunao waona ila nina uhakika kuna watu behind the doors ambao wanaweza kuwa na nguvu zaidi ya hao sema hawaonekani. You might be surprised.


Can anybody 'bainisha' how powerful is SIR ANDY CHANDE? Mmemsahahu huyu...
 
Hapana mkuu usiupotoshe uma wa JF, tenda aliyopewa Jeetu kwa ajili ya ununuzi wa matrekta ya kilimo kwanza ni msaada uliotolewa na serikali ya India $50mil na siyo hela ya EPA.

okay kumbee!! Jetu patel -Mhindi msaada India.. so kuna kafungamano hapa nini?Mtu mwenye kesi ya uhujumu uchumi mmh sipati picha. India wanatoa msaada tz kwanza siwaelewi wakati kwao kunahitaji msaada, well ya ngoswe...
 
4.edward lowassa

huyu ndio real deal the 'puppet master' waliobaki wancheza on his strings.
 
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful

ni hawa. 1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.
Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.
Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond..
Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.


Je unafikiri nani anastahili kuwemo???nani hastahili??
Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????
The Boss! kwa vigezo gani labda mwenzetu ulivyotumia??
 
mwe mwe mweeee we kasheshe na unadiriki kujiita a responsible citizen kweli....
 
Watanzania kumi ambao mi nafikiri ndio most powerful

ni hawa. 1.jakaya kikwete
2.salma kikwete
3.rostam aziz
4.edward lowassa
5.mizengo pinda
6.yusuph makamba
7.mohamed shein
8.samuel sitta
9.anna kilango
10.bernad membe.

Ingawa kikatiba na sheria dk shein alipaswa kuwa second most
powerful lakini kwa kuwa power inakuwa influenced na mambo
mengi ikiwemo urafiki na ukaribu wa mtu kwa mwenye nguvu zaidi,,,,naona nafasi yake ni no saba.
Samuel sitta kikatiba yeye ni wa tatu but mahusiano yake na hao wengine yamempunguza nguvu,ndio maana akasulubiwa na nec ya ccm.
Makamba ana nguvu ya position yake ya kichama na ukaribu wake kwa jk,
lowassa na rostam still very powerfull,,,
they are untouchables regardless kagoda na richmond..
Na hata teuzi za jk bado wanazi influence.


Je unafikiri nani anastahili kuwemo???nani hastahili??
Yupi unafikiri ana nguvu zaidi kuliko rank yake niliompa???au yupi hana nguvu hizo??????



hhahahahahahah chai chai chai mkuu....
 
Back
Top Bottom