mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Jamani kuna maajabu huku duniani, kuna mtoto alipozaliwa hakuwahi kuongea hadi
alivyofikisha miaka 8... Siku hiyo neno la kwanza kuongea alitaja BIBI ghafla bibi akafa.
Akataja tena BABU, mara wakasikia babu nae kafa huko aliko. Kila mtu akawa ana
mashaka kuhofia atatajwa nani tena. Mara akataja BABA, wakati baba yake akiwa na
wasiwasi wa kuambaa duniani, Dereva wao akafariki papo hapo!
alivyofikisha miaka 8... Siku hiyo neno la kwanza kuongea alitaja BIBI ghafla bibi akafa.
Akataja tena BABU, mara wakasikia babu nae kafa huko aliko. Kila mtu akawa ana
mashaka kuhofia atatajwa nani tena. Mara akataja BABA, wakati baba yake akiwa na
wasiwasi wa kuambaa duniani, Dereva wao akafariki papo hapo!