teh teh teh (cheka kifisadi)

mojoki

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
1,314
290
Jamani kuna maajabu huku duniani, kuna mtoto alipozaliwa hakuwahi kuongea hadi
alivyofikisha miaka 8... Siku hiyo neno la kwanza kuongea alitaja BIBI ghafla bibi akafa.
Akataja tena BABU, mara wakasikia babu nae kafa huko aliko. Kila mtu akawa ana
mashaka kuhofia atatajwa nani tena. Mara akataja BABA, wakati baba yake akiwa na
wasiwasi wa kuambaa duniani, Dereva wao akafariki papo hapo!
 
kama mimi ni baba ningeenda kutoa sadaka kwa sababu ni matukio machache yanayojidhihirisha hapa hapa diniani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom