Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
- Thread starter
- #121
Tecno wana vitu vichache tu vya kurekebisha ila zitakuja kuwa simu kali sana kwa baadaeMimi ninetumia sana Sumsung tatizo chaji, unakuwa unatembea na power bank utazani kama Hajar anavyotoka na mkoba, Tecno ya kwanza kutumia ilikuwa Camon 6+ nashukuru ilikuwa inakaa na chaji siku nzima na natumia mtandao hadi porini inashika kuliko hata waliokuwa na Iphone, kwasasa natumia Camon 8 iko vizuri. Ila nataka nirudi kwenye Samsung au nichukue IPhone ingawa kwa kazi nazofanya kudongosha simu kitu cha kawaida hapo nawaza hasara pia.
apple

