Tecno User Vs Samsung and iphone user

Tecno User Vs Samsung and iphone user

Mi ni tecno user na siyo kwamba sijawahi kumiliki samsung hapana ila ilinichosha kutokana na kutaka kunigeuza kuwa teja wa kwenye soketi ya umeme.

Toka nimeanza kutumia tecno hizo changamoto kwangu ni no japo hazidumu sana sometime na mapicha picha yake lakini Tecno is the best kwangu.

---inakaa na chaji 24+ hours kama sina mambo ya kufanya online.

__Camera yake iko vizuri .

__Kioo kikubwa

__Rahisi kuitumia haina mambo mengi.

__Space ya kutosha tu 16GB siyo haba kwa matumizi yangu binafsi.

__bei yake ni kawaida tu kwa mimi mjasiriamali au ata mkulima kuweza kuimudu.

__Upande wa data ni 4G+ na hazina ugumu kwenye upande wa Network setting.


Mnaotuponda watumia Tecno mkuje hapa mtupe Utofauti wa simu zenu.


Mi niko hapa natumiaTecno na hii post mnayoina nimeandika kwa kutumia tecno bila shaka mmeiona haina tofauti na atakaekuja kuandika kwa kutumia Samsung au I phone.
Mtoa mada ni wachina wangapi umewaona wanatumia tecno!?trust me 75% ya wachina wanatumia iPhone kumaanisha hawaziamini simu zao
 
Nilikuwa napenda sana lg na nimetumia sana kuanzia lg v10,lg g3,samsung s5,4 na 3 ila tatizo ni moja hazikai na chaji tena bora Samsung kuliko lg zinapata moto kama zimetoka jikoni.ila saizi nimeamia kwenye iphone chaji saa 24 halafu data zipo on pia haipati moto gb zakutosha 128 .

Mkuu nahs km unaiona ninavyoenjoy na 6s plus yngu
 
Mtoa mada ni wachina wangapi umewaona wanatumia tecno!?trust me 75% ya wachina wanatumia iPhone kumaanisha hawaziamini simu zao
Kwani watanzania wangapi umewaona wanatumia nyama ya mbwa kama kitoweo? trust me 99%ya watanzania wanatumia nyama ya ng'ombe kama kitoweo kumaanisha hawaiamini nyama ya mbwa lakini Wachina je mkuu?
 
Mimi ninetumia sana Sumsung tatizo chaji, unakuwa unatembea na power bank utazani kama Hajar anavyotoka na mkoba, Tecno ya kwanza kutumia ilikuwa Camon 6+ nashukuru ilikuwa inakaa na chaji siku nzima na natumia mtandao hadi porini inashika kuliko hata waliokuwa na Iphone, kwasasa natumia Camon 8 iko vizuri. Ila nataka nirudi kwenye Samsung au nichukue IPhone ingawa kwa kazi nazofanya kudongosha simu kitu cha kawaida hapo nawaza hasara pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom