Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,055
- 2,911
Mkuu umeenda kusiko,sijamaanisha MTU aseme maisha ya tandale sio maisha n bora kufa ..hii sio sawa..mm nachomaanisha n kuwa maisha yoyote yake n maisha ila quality yake huzidiana kulingana na economic status iliyopo...chukulia mfano nchi kama marekani au china ambako teknolojia IPO juu sana then uangalie maisha yao nasisi watu wa third world countries!! Are we the same because we breath the same air?? Nooo.....big noo....Ni kweli kabisa kikubwa ni kukubali hali uliyonayo mada hii imekaa kishabiki kuwa maisha ya watu wa Tandale sio maisha ni bora kufa kuliko kuishi Tandale tena anayesema haya yuko Mbezi. Sasa nami namuuliza anamaisha yapi ya ziada zaidi yangu?. Atakachoniambia anakwenda beach nami namwambia nami naenda pia Maziwa na bahari fukwe ziko kibao tena bure. Atanitajia misosi anayokula nami namtajia yangu kikubwa Sote tunakula.
Suala la kuishi maisha marefu liko mikononi mwa Mungu
Kule kuna easy access of social services kama vile usafiri hausumbui kama kwetu,huduma za afya zimeboreshwa ndio maana wanaishi miaka mingi kulko sisi,huduma za elimu ziko juu kulko sisi,maji na umeme viko juu kulko sisi...je bado unaamin ubora waaisha ya tz ni sawa kabisa na maisha ya USA au China in standards,??? Hpn mkuu....kitu cha msng tusidharauliane tu ila hatuko sawa