Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

Hahahha..
Mkuu snipa hata mimi natumia Tecno pad min,lakin n kwasababu ya umasikin tu,ningekua na ela ningenunua samsung tab 3..

Somtymz tusiwe wazalendo wa kijinga kwa vtu tunavyotumia,tecno hampat samsung..

Anatumia ile kanuni ya

Appreciate everything that you have
 
Last edited by a moderator:
wakuu nawashukuru kwa ushauri wenu kijumla nmeachana na tecno.
 
Tecno alitumia chipset ya qualcom kwenye tecno n3 tu ,baada ya hapo akahamia mediatek,tecno n3 ina ubora kuliko tecno p3,m3,l3 na hata m5 au p3,
 
Hahahha..
Mkuu snipa hata mimi natumia Tecno pad min,lakin n kwasababu ya umasikin tu,ningekua na ela ningenunua samsung tab 3..

Somtymz tusiwe wazalendo wa kijinga kwa vtu tunavyotumia,tecno hampat samsung..


Mi siku zote nasimamia ukweli !
Na wengi wataendelea hivi hivi kuniita Tecno / anti tecno ila sawa sina neno !

Ukiangalia ata mleta mada nimemshauri asinunue Hiyo Tecno Z !

Binafsi chipset huwa siiweki sana kwenye recommendation ya simu yakumwambia mtu anunue !

Unajua kuna watu wanaotumia simu kama Laptop na wale wenye matumizi yakawaida !

Sasa huyu nae mwenye matumizi yakawaida nimwambie asinunue Tecno kisa ni mediatek chipset how fool would i be !

If there's be a massage there like this

''this application can't be installed on your phone ... :Reason: Its use Mediatek chipset''

Hapo ningemshauri huyu anaetumia simu ku make calls kuingia whatsapp na viber asinunue simu ya aina hiyo !
!

snipa
 
Last edited by a moderator:
Mi siku zote nasimamia ukweli !
Na wengi wataendelea hivi hivi kuniita Tecno / anti tecno ila sawa sina neno !

Ukiangalia ata mleta mada nimemshauri asinunue Hiyo Tecno Z !

Binafsi chipset huwa siiweki sana kwenye recommendation ya simu yakumwambia mtu anunue !

Unajua kuna watu wanaotumia simu kama Laptop na wale wenye matumizi yakawaida !

Sasa huyu nae mwenye matumizi yakawaida nimwambie asinunue Tecno kisa ni mediatek chipset how fool would i be !

If there's be a massage there like this

''this application can't be installed on your phone ... :Reason: Its use Mediatek chipset''

Hapo ningemshauri huyu anaetumia simu ku make calls kuingia whatsapp na viber asinunue simu ya aina hiyo !
!

snipa

Hii ni kutokana na wabongo kuwa na maneno mengi tuu, mtu anaiponda CPU kisa ni mediatek, This is fool! hao wanaonyesha kufahamu sana mambo ya Chipset wenyewe wanasoma kutoka kwenye forums za wengine , yaani hakuna alienda inDeep kuhusu chipset na MCU systems. Kiufupi ni kwamba sio kila mediatek ni mbaya, ndio maana zipo model tofauti, sio kila ARM ni bora zipo ARM cpu hadi za kwnye EFD machines, cha pili ni kwamba sio kila version mpya ya CPU ipo faster au bora kuliko toleo la zamani. Hizo simu zingine zina cpu zenye umaarufu lakini wanakunyima vitu vingine vya muhimu kama vile RAM, Dual Camera, Dual sim etc.

tukubaliane kwamba kila simu ina ubora wake na mapungufu yake. na kila mtu anahitaji simu kutokana na matumizi yake..

wapo watu wengi waliosoma IT na CS ambao kwenye kuongea wapo vizuri kinoma lakini sasa mlete kwenye application... ni majanga!! kwa wewe unayeomba ushauri kuhusu simu ipi ni bora chukua ushauri wa JF then ongezea na akili yako, tafuta mtu wa karibu mwenye simu husika na akupe Real life experience na ufanye maamuzi sahihi.

Ni hayo tuu
 
Hahahha..
Mkuu snipa hata mimi natumia Tecno pad min,lakin n kwasababu ya umasikin tu,ningekua na ela ningenunua samsung tab 3..

Somtymz tusiwe wazalendo wa kijinga kwa vtu tunavyotumia,tecno hampat samsung..

Mkuu ingawa wataalam Wanaiponda Techno mim nataka kununua hiyo MN PAD ya TECHNO hebu nambia ikoje matumizi yangu ni kupiga nakuingia Kwenye NET tu..! Hebu nishawishi nishauri itanifaa? au ndo ilimradi...!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mimi nimekuwa nikifatilia huu Mjadala wa SIMU nzuri na viMEO lkn zinatajwa sana CHIP za MEDIATEK hii nikitu gani wandugu Kuuliza siujinga manake mnapoandika humu Wengine tunajifunza nakupata maarifa yakutosha sana so Ufafanuzi ni muhimu wandugu..!
 
Mkuu ingawa wataalam Wanaiponda Techno mim nataka kununua hiyo MN PAD ya TECHNO hebu nambia ikoje matumizi yangu ni kupiga nakuingia Kwenye NET tu..! Hebu nishawishi nishauri itanifaa? au ndo ilimradi...!

dolevaby
Ni nzuri sana kwa matumizi hayo mkuu,na inajitahidi sana kukaa na chaji..
 
Last edited by a moderator:
Darasa la chief mkwawa linaongia...jamaa nimemuelewa Sana
 
Hii ni kutokana na wabongo kuwa na maneno mengi tuu, mtu anaiponda CPU kisa ni mediatek, This is fool! hao wanaonyesha kufahamu sana mambo ya Chipset wenyewe wanasoma kutoka kwenye forums za wengine , yaani hakuna alienda inDeep kuhusu chipset na MCU systems. Kiufupi ni kwamba sio kila mediatek ni mbaya, ndio maana zipo model tofauti, sio kila ARM ni bora zipo ARM cpu hadi za kwnye EFD machines, cha pili ni kwamba sio kila version mpya ya CPU ipo faster au bora kuliko toleo la zamani. Hizo simu zingine zina cpu zenye umaarufu lakini wanakunyima vitu vingine vya muhimu kama vile RAM, Dual Camera, Dual sim etc.

tukubaliane kwamba kila simu ina ubora wake na mapungufu yake. na kila mtu anahitaji simu kutokana na matumizi yake..

wapo watu wengi waliosoma IT na CS ambao kwenye kuongea wapo vizuri kinoma lakini sasa mlete kwenye application... ni majanga!! kwa wewe unayeomba ushauri kuhusu simu ipi ni bora chukua ushauri wa JF then ongezea na akili yako, tafuta mtu wa karibu mwenye simu husika na akupe Real life experience na ufanye maamuzi sahihi.

Ni hayo tuu

We mwenzetu unayatoa wapi haya kama unadai wenzako wanatoa kwenye blog?
haijalishi ukweli unautoa wapi, lakini utasimama hivyo
Unadhani kila kitu lazima uende darasani
tetea hoja zako kwa hoja
 
We mwenzetu unayatoa wapi haya kama unadai wenzako wanatoa kwenye blog?
haijalishi ukweli unautoa wapi, lakini utasimama hivyo
Unadhani kila kitu lazima uende darasani
tetea hoja zako kwa hoja

Hahaha kaka uzoefu wa kazi una matter. Hoja zipo bungeni wewe endelea kuokota kwenye vi blog
 
Mi siku zote nasimamia ukweli !
Na wengi wataendelea hivi hivi kuniita Tecno / anti tecno ila sawa sina neno !

Ukiangalia ata mleta mada nimemshauri asinunue Hiyo Tecno Z !

Binafsi chipset huwa siiweki sana kwenye recommendation ya simu yakumwambia mtu anunue !

Unajua kuna watu wanaotumia simu kama Laptop na wale wenye matumizi yakawaida !

Sasa huyu nae mwenye matumizi yakawaida nimwambie asinunue Tecno kisa ni mediatek chipset how fool would i be !

If there's be a massage there like this

''this application can't be installed on your phone ... :Reason: Its use Mediatek chipset''

Hapo ningemshauri huyu anaetumia simu ku make calls kuingia whatsapp na viber asinunue simu ya aina hiyo !
!

snipa
Matumizi ya kawaida ndio yapi? kesho ikitoka apps inataka os kuanzia kit kat huyu mwenye mediatek isio upgrade os inakuaje

Tatizo hatutaki ushauri wa kitaalamu mediatek tunauziwa ghali kuliko uhalisia
 
Matumizi ya kawaida ndio yapi? kesho ikitoka apps inataka os kuanzia kit kat huyu mwenye mediatek isio upgrade os inakuaje

Tatizo hatutaki ushauri wa kitaalamu mediatek tunauziwa ghali kuliko uhalisia

Utanunua tecno yenye kitkat. Na hii ndio biashara kwani samsung zote zinafaa ku upgrade hadi kitkat? Siku hizi hakuna kufunga ndoa na simu wala computer
 
Utanunua tecno yenye kitkat. Na hii ndio biashara kwani samsung zote zinafaa ku upgrade hadi kitkat? Siku hizi hakuna kufunga ndoa na simu wala computer

mi nilikua na galaxy chat ilikuja na ice cream sandwitch nikapata jellybean nilinunua 250,000 kama miaka 2 sasa imepita. ni kweli hazipati zote update lakini simu zisizopata ni chache ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya minority. simu za majority zote zinapata nioneshe simu ya galaxy s series au note series ambayo haikupata updates

kuanzia 2012 tumepata android hizi
4.0 ice cream sandwitch
4.1
4.2
4.3 jelly bean
4.4 kitkat

kwa tecno ni simu 5 toFAUTI ila kwa samsung ni simu moja tu s3, fanya ulinunua kitecno cha 300,000 mara 5 hapo ushatumia 1,500,000 ambayo ni kubwa kuliko s3

na tabia ya kubadili simu inatokana na simu kupitwa na wakati ila kwa simu kama s3 mpaka leo inadai(especially version ya 2gb na lte)
 
Matumizi ya kawaida ndio yapi?

Matumizi yakawaida nadhani ata wewe unayaelewa ! Sitaki niende mbali zaidi !

Nimeishasema hapo juu kuna watu wanatumia simu kama computer (laptop) !
Kuangalia series na mambo mengi kibao tu ! Kufanya tethering n.k sitaki niende mbali !

kesho ikitoka apps inataka os kuanzia kit kat huyu mwenye mediatek isio upgrade os inakuaje
Tatizo hatutaki ushauri wa kitaalamu mediatek tunauziwa ghali kuliko uhalisia


hapo kwenye red bold ndipo ukweli na uhalisia ulipo !

TECNO wenyewe wameishajisahau na wamesahau lengo lao kuu laku target Africa !

Nimeishasema mwanzisha thread aachane na hiyo phantom Z mana bei itakayokuja nayo itakuwa siyo yakawaida !

Labda kama mtu anataka kutumia latest TECNO device !
 
wakuu nikiwa naangalia kombe la dunia. Kipindi cha na mapumziko nimeona tangazo la toleo jipya la tecno ambayo ni tecno phantom Z.
na kwa haraka baada ya kuigoogle nimepata taarifa hizi...
octa core
processor and 16mp
camera..

mwenye taarifa zaidi atufamishe ubora na ulegevu wa hii simu.
Ahsanta.
cc snipa chief-mkwawa C6 na wengineo wenye ufahamu.

Mkuu ni Simu gani yenye uwezo mzuli pia inatunza chager.. na inaubola mzuli mimi npo muscat Oman.. Mwakan Nataka nije Tanzania ila nataka kuja na Simu Kali Sijajua ninunue.. simu gani itakayo nifaa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni Simu gani yenye uwezo mzuli pia inatunza chager.. na inaubola mzuli mimi npo muscat Oman.. Mwakan Nataka nije Tanzania ila nataka kuja na Simu Kali Sijajua ninunue.. simu gani itakayo nifaa

Pitia threads za chief-mkwawa
 
Back
Top Bottom