Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

Kama nimekuelewa tokea mwanzo unataka u-prove kwamba simu zote za Tecno zimewekewa tu Jina ila zinamilikiwa na watu tofauti na hilo Jina "TECNO" yaani tuseme ni trade name tu ila simu yenyewe iko.....

Kama ni hivo basi Onesha Phantom A+ Imefanana na simu gani nyingine?

yap nimemaanisha hivyo kaka kwanza nianze na introduction maana najua kuna criticism zitakuja. simu haijalishi imetengenezwa wapi bali tunatakiwa tujali imetengenezwa na nani. manufacture kama apple na samsung wanadesign simu halafu ndio zinapelekwa china kutengenezwa kwa wingi. ule uzuri unaouona kwenye iphone hautokani na foxcon bali ni apple wenyewe waliofanya design.

design ya simu ni kubwa sana na inacost mabilioni ya hela kutengeneza prototype kabla ya kwenda kiwandani kutengeneza kwa wingi. hawa tecno na karibia manufacture wote wa mediatek wao hawadesign simu wala hawana viwanda bali wanakwenda tu china kutoa order na kueka logo zao.

sasa hivi kuna pikipiki zinaitwa mkombozi kuna nyengine zinaitwa mtanganyika zipo mitaani munataka kusema na hawa jamaa wana kiwanda tanzania cha pikipiki? hawa ni kama tecno wanaenda tu kutoa order ya simu huko.

kaka njunwa umenipa challenge ya phantom nilishawah kuonesha simu kama phantom ila sio mbaya nitarudia tu hapa. hebu tuiangalie kwa makini phantom yetu kama sio mtanikosoa
2013_10$largeimg201_Oct_2013_095954580.jpg

phantom ni hiyo nyeupe na hapo kwenye design ya simu tunaona
1.camera 8mp
2.design yake kuna camera hump ya duara imetokezea kidogo
3.flash nayo ni ya duara ipo pembeni ya camera
4.spika ipo kwa chini
5.juu ya spika kuna description ya maneno toka kiwandani

tumeona nyuma ipoje tuje mbele sasa
phantom_white__77578.jpg

1.angalia spika ye mbele hapo juu
2. kioo ukubwa wa inch 5
3. resolution ya 1280x720

njoo internal za ndani
1.ram 1gb
2.internal memory 4gb
3. hsdpa 2100 pekee

ukimaliza hapo njoo angalia simu hizi
ZOPO-ZP810-Quad-Core-Phone-1.jpg

sku41666.jpg


angalia position ya camera angalia flash, angalia spika, angalia spika ya mbele zote zina 8mp tena imeandikwa kwa nyuma zote zina 4gb zote ram 1gb zote zina hsdpa 2100 karibia kila kitu kinafanana je ni coincidence?
 
Yani humu ndani kila siku simu yenye majanga ni tecno,naww ndo kwanza unataka ukanunue tecno..buy tecno at your own risk
 
yap nimemaanisha hivyo kaka kwanza nianze na introduction maana najua kuna criticism zitakuja. simu haijalishi imetengenezwa wapi bali tunatakiwa tujali imetengenezwa na nani. manufacture kama apple na samsung wanadesign simu halafu ndio zinapelekwa china kutengenezwa kwa wingi. ule uzuri unaouona kwenye iphone hautokani na foxcon bali ni apple wenyewe waliofanya design.

design ya simu ni kubwa sana na inacost mabilioni ya hela kutengeneza prototype kabla ya kwenda kiwandani kutengeneza kwa wingi. hawa tecno na karibia manufacture wote wa mediatek wao hawadesign simu wala hawana viwanda bali wanakwenda tu china kutoa order na kueka logo zao.

sasa hivi kuna pikipiki zinaitwa mkombozi kuna nyengine zinaitwa mtanganyika zipo mitaani munataka kusema na hawa jamaa wana kiwanda tanzania cha pikipiki? hawa ni kama tecno wanaenda tu kutoa order ya simu huko.

kaka njunwa umenipa challenge ya phantom nilishawah kuonesha simu kama phantom ila sio mbaya nitarudia tu hapa. hebu tuiangalie kwa makini phantom yetu kama sio mtanikosoa
2013_10$largeimg201_Oct_2013_095954580.jpg

phantom ni hiyo nyeupe na hapo kwenye design ya simu tunaona
1.camera 8mp
2.design yake kuna camera hump ya duara imetokezea kidogo
3.flash nayo ni ya duara ipo pembeni ya camera
4.spika ipo kwa chini
5.juu ya spika kuna description ya maneno toka kiwandani

tumeona nyuma ipoje tuje mbele sasa
phantom_white__77578.jpg

1.angalia spika ye mbele hapo juu
2. kioo ukubwa wa inch 5
3. resolution ya 1280x720

njoo internal za ndani
1.ram 1gb
2.internal memory 4gb
3. hsdpa 2100 pekee

ukimaliza hapo njoo angalia simu hizi
ZOPO-ZP810-Quad-Core-Phone-1.jpg

sku41666.jpg


angalia position ya camera angalia flash, angalia spika, angalia spika ya mbele zote zina 8mp tena imeandikwa kwa nyuma zote zina 4gb zote ram 1gb zote zina hsdpa 2100 karibia kila kitu kinafanana je ni coincidence?

Mkuu kama ni simu kufanana mbona ziko nyingi? na za makampuni makubwa
 
Mkuu kama ni simu kufanana mbona ziko nyingi? na za makampuni makubwa

hebu taja mfano simu ya kampuni kubwa kama nokia au samsung au htc au motorola au lg inayofanana na mwenzake kuanzia design hadi internal. samsung wameiga round corner tu wakashtakiwa ije kuwa kuiga kila kitu hadi internals. na kampuni kubwa always wana vitu ambavyo vipo kwao tu mfano.
1.nokia camera yake ni pureview
2.ya motorola clearpixel
3.htc ni ultrapixel
4.isocell tunaipata camera ya samsung
5.kwa sony tunapata ois ya software

kila kampuni na tech zake zinatofautiana na kampuni moja ikitaka kutumia tech ya mwenzake inabidi ilipie.
 
wee unaangalia tu battery kweli watu wanaangalia chipset ndo kitu ya kwanza...
Hivo ujue hapa unapoongea sio watu anti-tecno bali watu anti Mediatek

Duh! Watu wanaponda mediatek wakati wanatumia laptops za celeron .. hahahaha. Tz tutengeneze basi chipset zetu wenyewe ili tuonyeshe ujanja wetu si kwa maneno tuu
 
just taja simu yoyote iwe challenge kwangu maana nikitaja mimi munaweza sema ni coincidence.

Inawezekana wamekopy . Kwani hata dell haiwezi kufanana na toshiba? This is still not a reason. Huu ni mtazamo sa fulani. May be tecno is good that is why has been copied
 
Hawalalamiki matatizo wanalalamika hawajui kutumia e.g ku-enable internet kwenye S4 ni moja ya thread ambazo nimekutana nazo

Mmh! Pitia tena. Kuna thread hapo nadhani ya jana. Mambo ya low memory. Na thread zingine zipo za kitambo za samsung, htc.....
 
Duh! Watu wanaponda mediatek wakati wanatumia laptops za celeron .. hahahaha. Tz tutengeneze basi chipset zetu wenyewe ili tuonyeshe ujanja wetu si kwa maneno tuu

kaka its not about power tu kwani snapdragon 200 na 400 zina power kubwa? zinapitwa na baadhi ya chip za mediatek ila still tunarecomend hizo sababu ya features. nimetoa mfano hapo juu even wachina wenyewe kina xiaomi, zte, huawei hawatumii mediatek kwenye simu zao nzuri wote wanaenda qualcom au custom made chip je na hawa ni haters pia?
 
Hebu pitia jf uone watu wanavyolalamikia samsung galaxy ....

kama nilivyosema hapo juu touchwiz ina matatizo ya kula ram hili linajulikana sio siri na kuna kosa kubwa watu wanafanya ambalo wanaangalia ukubwa wa ram ya simu badala ya kuangalia free ram, ila ukitaka kuona mediatek ni takataka hebu shika htc sense uone kitu kinavyoteleza au stock ya motorola au nexus, nunua samsung isio na touchwiz kama s4 version ya stock au tafuta miui au hata hio samsung toa touchwiz eka custom rom kama omni au cyanogen
 
kaka its not about power tu kwani snapdragon 200 na 400 zina power kubwa? zinapitwa na baadhi ya chip za mediatek ila still tunarecomend hizo sababu ya features. nimetoa mfano hapo juu even wachina wenyewe kina xiaomi, zte, huawei hawatumii mediatek kwenye simu zao nzuri wote wanaenda qualcom au custom made chip je na hawa ni haters pia?

OUT OF TOPIC BRO
Nimeona aijibiwi kwa muda mrefu nataka niflash simu yangu huawei y 300 ni ya tigo iwe multchip sasa nimejaribu kuuliza nkaambiwa kuna uwezekano wa kutokea error nyingi
Sasa naomba unipe ushauli wako kaka NIFANYEJE
 
Inawezekana wamekopy . Kwani hata dell haiwezi kufanana na toshiba? This is still not a reason. Huu ni mtazamo sa fulani. May be tecno is good that is why has been copied

haziwezi kufanana na siku mmoja akimcopy mwenzake ujue kesho yake anapelekwa mahakamani.

kaka hebu nioneshe patent hata moja ya tecno wameregister kokote kule kuwa wameinovate kitu
 
OUT OF TOPIC BRO
Nimeona aijibiwi kwa muda mrefu nataka niflash simu yangu huawei y 300 ni ya tigo iwe multchip sasa nimejaribu kuuliza nkaambiwa kuna uwezekano wa kutokea error nyingi
Sasa naomba unipe ushauli wako kaka NIFANYEJE

kaka sina experience na hilo ni vyema ukapata experience ya mtu mwenye hio simu halafu ameunlock. pia nimeskia una unlock kwa code hivyo nafkiri itakuwa haina error yoyote
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...atumia-line-moja-itumie-line-zote-urgent.html
 
kaka lengo la mediatek ni kutengeneza chip za bei rahisi ili watu wa hali ya chini nao waweze kunufaika ila inapofikia sasa simu za mediatek zinauzwa laki 4 au 5 au 6 na kuendelea inabidi tujiulize lengo limefikiwa? processor za mediatek ukiachana na weakness zake kama kutoweza ku update simu pia ni dhaifu sababu nyingi ni cortex a7 ambayo ina speed ndogo. pia kwenye gpu kwa ajili ya gaming na apps kubwa apps nyingi zimekua optimized kurun kwenye adreno hivyo compability yake na power vr ya meadiatek si nzuri.

usidanganyike na core ukaona simu ina core 8 au core 6 apps nyingi karibia asilimia 80 zimekuwa optimized kufanya kazi kwa core 1 au mbili, kwa lugha nyengine ukiwa na simu ya core nane ukirun app core 1 au mbili zitatumika na core 6 au 7 zitatulia hazifanyi kazi. core nyingi zinaleta sense zikiwa optimized kama alivyofanya samsung au chip mpya za huawei ziitwazo kirin, wao wameeka core nane lakini nne zina cortex a15 na nne zina cortex a7. hekima ya kufanya hivyo ukirun game au apps kubwa cortex a15 inahandle game kubwa then perfomance inakuwa kubwa lakini simu ikiwa inafanya task ndogo cortex a7 inahandle perfomance inakuwa ndogo na kusave battery. hivyo unapata perfomance kubwa na battery inayokaa sana.

so far chip nzuri za simu ni snapdragon 800/801 ambazo ndio best zinatumika simu zote kubwa kama htc m8, xperia z2, galaxy s5, lg g3 simu zinakuwa very smooth kabisa. hivyo hii chip ndio inakuwa recomended na pia ukitaka kujua hawa jamaa wapo level nyengine japo perfomance ni kubwa lakini battery pia inakaa sana simu kama lumia 1520, xperia t2, lg gflex ndo habari ya mjini ikija suala la kukaa na chaji japo kuna simu za mediatek zina 4000mah zinapitwa na qualcom yenye 3000mah.

nazilist hapa kwa perfomance hizi snapdragon
801
800
600
400
200

je tunapondea wachina?
kuna watu wao wanafkiri mtu akiongea hivi tunakandia wachina tu nitakupa case kidogo uelewe

1.case ya kwanza ni xiaomi
hawa jamaa ni wachina pale pale simu yao ya bei ghali ya mediatek ni dola around 130 inaitwa hongmi simu zao zote za kuanzia dola 200 hawatumii mediatek wanatumia either exynos au snapdragon so angalia jinsi wao wenyewe wachina wanavyojua

2.case ya pili ni oppo na oneplus one
hawa pia ni wachina na wametoa simu ya bei rahisi sana around dola 300 ila wametumia snapdragon 800/801

hapo juu just nimekuonesha even wachina wanaosifika kwa simu kali hawatumii mediatek.

watu wanacompare simu za mediatek na samsung na hili ni kosa kubwa sababu touchwiz ya samsung ni nzito sanaaa na haimaanishi ile ndio android, simu nyingi za mediatek zinatumia clone ya touchwiz so mtu akiwa na tecno akicheki na samsung ina touchwiz anaona ile ni android na kuona simu yake ipo fast. kwa comparison nzuri tafuta simu ya htc yenye sense au nexus yenye stock android au samsung yenye stock android then utaona kuwa snapdragon ni next level.

kuhusu price sasa hivi unaweza pata simu ya snapdragon 400 kuanzia dola 150 hivyo kwenye bei za kuanzia 250,000 unapata simu decent ya snapdragon mfano angalia zte redbull, moto g, lumia 630,

kwa hio snapdragon 800/801 ambayo ndio latest simu ya bei rahisi ni oneplus one ambayo ni around dola 300.

nipo nafyonza ilmu..
ahsanta sana
 
Back
Top Bottom