Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

Utanunua tecno yenye kitkat. Na hii ndio biashara kwani samsung zote zinafaa ku upgrade hadi kitkat? Siku hizi hakuna kufunga ndoa na simu wala computer

mkuu ymollel nina galaxy s2 hapa vipi nayo inakubali kitkat.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni Simu gani yenye uwezo mzuli pia inatunza chager.. na inaubola mzuli mimi npo muscat Oman.. Mwakan Nataka nije Tanzania ila nataka kuja na Simu Kali Sijajua ninunue.. simu gani itakayo nifaa
Mkuu wewe nunua tu simu yeyote ile kulingana na mahitaji yako,siku hizi bongo hakuna simu kali simu ikitoka leo USA baada ya wiki bongo zimeshafika.!
 
dolevaby
Ni nzuri sana kwa matumizi hayo mkuu,na inajitahidi sana kukaa na chaji..

Nakushukuru ndg yangu kwakunipa Matumaini niko Safarini nikitua DAR naenda kuichukua...! Asante MCHINA ingawa watu wanaponda lkn angalau kunakaHESHIMA flan...! Zamani aliekuwa na Pikipiki aliheshimika lkn nw Jino kwa Jino na CM ni hivyo..! mi nadhani Mtu anunue CM kutokana na Matumizi yake cz hata uwe na CM ya namna gani huwezi kufanaya kz zote Lazima utatumia PC
 
Last edited by a moderator:
Utanunua tecno yenye kitkat. Na hii ndio biashara kwani samsung zote zinafaa ku upgrade hadi kitkat? Siku hizi hakuna kufunga ndoa na simu wala computer

u are lacking sense of economy chief-mkwawa amefafanua, ishu sio kufunga ndoa na simu ila ni kuwa na kifaa ambacho kitadumu software na hardware, watu wenye pc ambazo mwisho wake ni windows xp wanalazimika ku upgrade machine zao maana xp haiwisupported any longer,
labda kama wewe ni milionea wa kubadili simu kila mpya inapotoka, chifu katoa mfano wa s3 ambayo inaweza kuwa upgraded to kitkat kwann ununue simu ya kitkat wakati yako inaweza upgraded, nadhani unanipata hapo, yani utanunua tecno tano ambazo haziwi upgraded wakati unaweza kuwa na s3 moja na ikawa upgraded
 
Last edited by a moderator:
u are lacking sense of economy chief-mkwawa amefafanua, ishu sio kufunga ndoa na simu ila ni kuwa na kifaa ambacho kitadumu software na hardware, watu wenye pc ambazo mwisho wake ni windows xp wanalazimika ku upgrade machine zao maana xp haiwisupported any longer,
labda kama wewe ni milionea wa kubadili simu kila mpya inapotoka, chifu katoa mfano wa s3 ambayo inaweza kuwa upgraded to kitkat kwann ununue simu ya kitkat wakati yako inaweza upgraded, nadhani unanipata hapo, yani utanunua tecno tano ambazo haziwi upgraded wakati unaweza kuwa na s3 moja na ikawa upgraded

Na aliyekuwa na galaxy ace gt5830 kwa mfano????? Msikomalie hizo S2 s3 na Note ... na kama ni ishu ya economic basi samsung na htc zina bei karibu mara 2 au 3 ya tecno...
 
Last edited by a moderator:
Na aliyekuwa na galaxy ace gt5830 kwa mfano????? Msikomalie hizo S2 s3 na Note ... na kama ni ishu ya economic basi samsung na htc zina bei karibu mara 2 au 3 ya tecno...

kwan s3 siku hizi si around laki 4 tu ikizidi ndio hio laki 5 phantom bei si ndo hizo hizo

kuna motorola moto g ni 350,000 hadi 400,000 tz na inauhakika kupata update zinazokuja

what about moto e ambayo itakuwa around 200,000 hadi 300,000 nayo pia inapata updates

kuna xperia hizi m na l zote zinapata updates chini ya laki 4 zinapatikana

tatizo lako kaka unapenda sana tecno sio mbaya ila sometime angalia ukweli
 
Na aliyekuwa na galaxy ace gt5830 kwa mfano????? Msikomalie hizo S2 s3 na Note ... na kama ni ishu ya economic basi samsung na htc zina bei karibu mara 2 au 3 ya tecno...
bado ishu ya economy ipo palepale, kuna smartphone low end, medium na high end, unaponunua low end ni kama galaxy y etc,

low end usitegemee utaweza ku upgrade zaidi ya mara mbili maana inakuwa na spec ndogo na hata bei yake

ila high end kama note3, s4, s5, xperia z etc utaona ziko vyema kila sekta lets say iyo phantom z yako ambayo iko high end ya tecno ambayo hutaweza kuiupgrade version mpya

kifupi ishu ni value of money vs what you are getting

sio kwa ushabiki ila think twice
 
Mh!! huu sasa ni uongo 3.2 kwa 8mp ?? Mi hiyo phantom A+ nimetumia jamani tujitahidi kuwa wakweli, katika vitu wamejitahidi Tecno kwenye A+ basi ni kamera hebu piga picha na A+ piga na Htc one S Kisha piga picha na Sony xperia Lt 26i tuwekee hapa nakurushia 10,000?= kwenye Mpesa kama picha ya A+ itaonekana mbaya !! Izo simu zote tatu nimetumia acheni ushabiki wa kishamba !!
 
Mh!! huu sasa ni uongo 3.2 kwa 8mp ?? Mi hiyo phantom A+ nimetumia jamani tujitahidi kuwa wakweli, katika vitu wamejitahidi Tecno kwenye A+ basi ni kamera hebu piga picha na A+ piga na Htc one S Kisha piga picha na Sony xperia Lt 26i tuwekee hapa nakurushia 10,000?= kwenye Mpesa kama picha ya A+ itaonekana mbaya !! Izo simu zote tatu nimetumia acheni ushabiki wa kishamaba !!

camera quality haihusiani na megapixel na hao kina htc hawana sifa ya kuwa na camera nzuri na kusema kuwa tecno wana camera bora pia ni jokes.
 
Tecno wamesubiri samsung a release s5 wa copy na kupaste
 
Mh!! huu sasa ni uongo 3.2 kwa 8mp ?? Mi hiyo phantom A+ nimetumia jamani tujitahidi kuwa wakweli, katika vitu wamejitahidi Tecno kwenye A+ basi ni kamera hebu piga picha na A+ piga na Htc one S Kisha piga picha na Sony xperia Lt 26i tuwekee hapa nakurushia 10,000?= kwenye Mpesa kama picha ya A+ itaonekana mbaya !! Izo simu zote tatu nimetumia acheni ushabiki wa kishamaba !!


TECNO kwenye Camera ukubali kwamba wame suck !

Chukua Nokia Asha 200/201 ambazo zina 2 Mega pixel

Na Tecno P3 ambayo wana claim kuwa na 3 MP kitu ambacho ni uongo !

Ukiangalia quality ya picha utagundua !

Asha 200/201 wame mzidi Tecno P3

bado sijafanya comparison ya Tecno P5
 
Mi nimecompare na phantom A+ achana na huo uchafu P3 !!
 
Htc hawana sifa ya camera kivipi mbona Htc one wana camera nzuri tu, Htc one s ndo walichemka kwenye camera, lakini si kweli kwamba Htc zote zina camera mbovu, mi nakataa !!
 
Unapopambanisha kamera, ni vizuri ukiwa unalinganisha na Nokia ( Baba Lao) maana huyo ndio SI unit ya kamera. Hao wakina HTC, Samsung wote chamtoto kwa Nokia.
 
Htc hawana sifa ya camera kivipi mbona Htc one wana camera nzuri tu, Htc one s ndo walichemka kwenye camera, lakini si kweli kwamba Htc zote zina camera mbovu, mi nakataa !!

hapana htc one haina camera nzuri ukicompare na wenzake. chukua lumia 920/1020/925/1520/930, xperia z1/z2, galaxy s5, lg g2/g3 even oppo halafu linganisha na htc one htc itakua ya mwisho. na hicho kitu wanachobrag kuhusu ultra pixel na dual camera nokia amekifanya kwa visoftware vidogo tu.
 
Back
Top Bottom