Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

cha kukushauri sahz n kuireset cm. na kuiformat memory card, cha kwanza, format memory card, then back up contacts kwa sd card then reset phone. c wajua? ku back up na ku reset?
simu nishawahi kuireset mkuu kwa matatz haya lkn huyu mse**e ni m'bishi kama......
.
 
i love my tecnoP5. msg chatting ya mtu zipo hadi zaidi ya elfu no problm. kwa upande wa internet ndo kabisa inanifurahisha. kuhusu storage nimejaza mavideo,music na picha za kutosha. in general naipenda sana hii simu. ya kwako labda ni feki. au umedownload mafile yenye vizuri ya unreliable souce. pole sana.
mkuu unaniumiza roho dah
 
Sd card yako ina ukubwa gani? jitahidi upate yenye ukubwa mzuri
Fanya backup kwenye sd card yako au hamisha picha, contacts na miziki kwenye sd card yako kisha format simu

Baada ya hapo usiweke clearmaster wa antvirus yoyote zaidi apps muhimu tu, usijaze apps mfano fb na fb chat massage, browser tumia default browser au uc mini,
Install apps zako kwenye sd na ulink default apps zistore data kwenye sd card, link2sd itakusaidia kufanya hivyo

Buy tecno at your own risk
kama ndo hvy bora niitupe tu!
 
kaka lengo la mediatek ni kutengeneza chip za bei rahisi ili watu wa hali ya chini nao waweze kunufaika ila inapofikia sasa simu za mediatek zinauzwa laki 4 au 5 au 6 na kuendelea inabidi tujiulize lengo limefikiwa? processor za mediatek ukiachana na weakness zake kama kutoweza ku update simu pia ni dhaifu sababu nyingi ni cortex a7 ambayo ina speed ndogo. pia kwenye gpu kwa ajili ya gaming na apps kubwa apps nyingi zimekua optimized kurun kwenye adreno hivyo compability yake na power vr ya meadiatek si nzuri.

usidanganyike na core ukaona simu ina core 8 au core 6 apps nyingi karibia asilimia 80 zimekuwa optimized kufanya kazi kwa core 1 au mbili, kwa lugha nyengine ukiwa na simu ya core nane ukirun app core 1 au mbili zitatumika na core 6 au 7 zitatulia hazifanyi kazi. core nyingi zinaleta sense zikiwa optimized kama alivyofanya samsung au chip mpya za huawei ziitwazo kirin, wao wameeka core nane lakini nne zina cortex a15 na nne zina cortex a7. hekima ya kufanya hivyo ukirun game au apps kubwa cortex a15 inahandle game kubwa then perfomance inakuwa kubwa lakini simu ikiwa inafanya task ndogo cortex a7 inahandle perfomance inakuwa ndogo na kusave battery. hivyo unapata perfomance kubwa na battery inayokaa sana.

so far chip nzuri za simu ni snapdragon 800/801 ambazo ndio best zinatumika simu zote kubwa kama htc m8, xperia z2, galaxy s5, lg g3 simu zinakuwa very smooth kabisa. hivyo hii chip ndio inakuwa recomended na pia ukitaka kujua hawa jamaa wapo level nyengine japo perfomance ni kubwa lakini battery pia inakaa sana simu kama lumia 1520, xperia t2, lg gflex ndo habari ya mjini ikija suala la kukaa na chaji japo kuna simu za mediatek zina 4000mah zinapitwa na qualcom yenye 3000mah.

nazilist hapa kwa perfomance hizi snapdragon
801
800
600
400
200

je tunapondea wachina?
kuna watu wao wanafkiri mtu akiongea hivi tunakandia wachina tu nitakupa case kidogo uelewe

1.case ya kwanza ni xiaomi
hawa jamaa ni wachina pale pale simu yao ya bei ghali ya mediatek ni dola around 130 inaitwa hongmi simu zao zote za kuanzia dola 200 hawatumii mediatek wanatumia either exynos au snapdragon so angalia jinsi wao wenyewe wachina wanavyojua

2.case ya pili ni oppo na oneplus one
hawa pia ni wachina na wametoa simu ya bei rahisi sana around dola 300 ila wametumia snapdragon 800/801

hapo juu just nimekuonesha even wachina wanaosifika kwa simu kali hawatumii mediatek.

watu wanacompare simu za mediatek na samsung na hili ni kosa kubwa sababu touchwiz ya samsung ni nzito sanaaa na haimaanishi ile ndio android, simu nyingi za mediatek zinatumia clone ya touchwiz so mtu akiwa na tecno akicheki na samsung ina touchwiz anaona ile ni android na kuona simu yake ipo fast. kwa comparison nzuri tafuta simu ya htc yenye sense au nexus yenye stock android au samsung yenye stock android then utaona kuwa snapdragon ni next level.

kuhusu price sasa hivi unaweza pata simu ya snapdragon 400 kuanzia dola 150 hivyo kwenye bei za kuanzia 250,000 unapata simu decent ya snapdragon mfano angalia zte redbull, moto g, lumia 630,

kwa hio snapdragon 800/801 ambayo ndio latest simu ya bei rahisi ni oneplus one ambayo ni around dola 300.

na hapa vipi?

Chipset Hummingbird
CPU 1 GHz Cortex-A8
 
hawana kiwanda bali hizi ni zile simu ambazo unanunua unaeka tu jina lako, wanasema wana hq na kiwanda hongkong wakati ni kati ya jiji ghali duniani even apple na samsung hawawezi kueka kiwanda hongkong kama kariakoo tz kiwanja ni mabilion ya hela imagine hongkong ipo kama kkoo huruhusiwi kujenga gorofa chini ya 30 plot itakua sh ngap? wanasema ni wachina management nzima ni ya wahindi.

na kukuhakikishia jamaa hawatengenezi simu chagua simu yako yoyote ya tecno uipendayo ntakuletea wenzake kibao wanafanana kila kitu


Chief Tecno Hawana kiwanda Hong Kong wanacho kipo China ! (development area)
 
Chief Tecno Hawana kiwanda Hong Kong wanacho kipo China ! (development area)

taja simu ya tecno unayoitaka wewe nitaprove hawana kiwanda na hio ya hongkong sijasema mimi arif chowdry ndio aliosema
 
na hapa vipi?

Chipset Hummingbird
CPU 1 GHz Cortex-A8
ni hummingbird ipi? exynos ya samsung? kama inarun android 2.3 kushuka chini its ok ila kama inarun kuanzia android 4 kupanda nayo pia ni mbaya
 
taja simu ya tecno unayoitaka wewe nitaprove hawana kiwanda na hio ya hongkong sijasema mimi arif chowdry ndio aliosema


Sijakuelewa ukiwa na maana gani kwenye red hapo !

btw

Nimeona maelezo haya

''The company started in 2006 in Hong Kong with our first research and development centre in Shanghai, China. For two years, our business focused on the South Asia market. After studying the markets in South East..........''

Chinese mobile phone company Tecno explains why it only does business in Africa
 
Sijakuelewa ukiwa na maana gani kwenye red hapo !

btw

Nimeona maelezo haya

''The company started in 2006 in Hong Kong with our first research and development centre in Shanghai, China. For two years, our business focused on the South Asia market. After studying the markets in South East..........''

Chinese mobile phone company Tecno explains why it only does business in Africa

just taja simu yoyote iwe challenge kwangu maana nikitaja mimi munaweza sema ni coincidence.
 
just taja simu yoyote iwe challenge kwangu maana nikitaja mimi munaweza sema ni coincidence.

Kama nimekuelewa tokea mwanzo unataka u-prove kwamba simu zote za Tecno zimewekewa tu Jina ila zinamilikiwa na watu tofauti na hilo Jina "TECNO" yaani tuseme ni trade name tu ila simu yenyewe iko.....

Kama ni hivo basi Onesha Phantom A+ Imefanana na simu gani nyingine?
 
ni hummingbird ipi? exynos ya samsung? kama inarun android 2.3 kushuka chini its ok ila kama inarun kuanzia android 4 kupanda nayo pia ni mbaya

Mkuu, TZ hatuna kiwanda cha simu vp, upo unafanya, na kampuni gani, ya kutengeneza simu hapa duniani..
maana unauelewa sana na haya mambo
I APPRECIATE
 
Bado ni siri ila Kwa Nigeria tiyali walisha pata Fununu, na kama mkijua TECNO wana soko kubwa sana Nigeria, Ila inaweza kuwa ni balaa na bei yake inaweza kuwa si ya mchezo, Ila hawa Tecn kwa matolea wanatisha R 7 haina mwezi tiyari wameachia kitu kingine
 
Tatizo custom ROM za mtandaoni zinakuja na majina yake ya simu hasa zile za majina makubwa kama Samsung, LG, Huawei, Sony n.k. Hakuna ambayo imetengezwa kwa ajili ya Tecno.
 
Watu mnaoisifia TECno ebu pitien hili jukwaa muone jins gan watu wanailalamikia tecno kwa matatzo Lukuki
 
Back
Top Bottom