Tecno mobile Mega Thread

Tecno mobile Mega Thread

ymollel
Jipindue uwezavyo,bishana uwezavyo,ila mwisho wa siku kubali kuwa Tecno n simu nzuri kwa umasikin wetu ila kuifananisha Tecno na Galaxy.!!bange hizi..

Kioo cha tecno juani hauon kabisa,.
Baadhi ya Watu wanalalamika waki restore sim zao ndo mwisho haiwak tena..

Mi sidhan kama duniani watu ni wajinga kiasi cha kununu samsung,iphones,bb,etc. Kwa bei kubwa wakat tecno ya bei ndogo ipo,ila n kwasababu haina vwango..

Kitu ambacho kilifanya niidhau tecno,n camera,nilijaribu kuishndanisha camera ya Tecno phantom ambayo n 8mp na ya nokia e63 ambayo n 3.2mp na ya blackberry q5 ambayo n 5mp,eti ya blackberry(5mp)na ya nokia e63(3.2mp) ikawa bora kuliko ya tecno(8mp)..
 
Last edited by a moderator:
mkuu unaniumiza roho dah

Yaani ndo ukweli sio kwamba naisifu tu. Application nimedownload za nyingi tu nikitulia nitakupa list. Nafikiri hizi simu zipo original na feki.inawezekana walikukamatisha hii maana sijapata tatizo lolote tangu nimeinunua december.
 
ymollel
Jipindue uwezavyo,bishana uwezavyo,ila mwisho wa siku kubali kuwa Tecno n simu nzuri kwa umasikin wetu ila kuifananisha Tecno na Galaxy.!!bange hizi..

Kioo cha tecno juani hauon kabisa,.
Baadhi ya Watu wanalalamika waki restore sim zao ndo mwisho haiwak tena..

Mi sidhan kama duniani watu ni wajinga kiasi cha kununu samsung,iphones,bb,etc. Kwa bei kubwa wakat tecno ya bei ndogo ipo,ila n kwasababu haina vwango..

Kitu ambacho kilifanya niidhau tecno,n camera,nilijaribu kuishndanisha camera ya Tecno phantom ambayo n 8mp na ya nokia e63 ambayo n 3.2mp na ya blackberry q5 ambayo n 5mp,eti ya blackberry(5mp)na ya nokia e63(3.2mp) ikawa bora kuliko ya tecno(8mp)..

100% lie
 
Last edited by a moderator:
i love my tecnoP5. msg chatting ya mtu zipo hadi zaidi ya elfu no problm. kwa upande wa internet ndo kabisa inanifurahisha. kuhusu storage nimejaza mavideo,music na picha za kutosha. in general naipenda sana hii simu. ya kwako labda ni feki. au umedownload mafile yenye virus from unreliable source. pole sana.

Mimi pia nimewahi tumia P5, kwa tatizo la sms nikweli hiyo simu inatatizo hilo, ila kwa tatizo la kwanza nadhan nihyo simu jaribu ku fanyia reset kwa kuirestore uanze upya.
 
Mkuu, TZ hatuna kiwanda cha simu vp, upo unafanya, na kampuni gani, ya kutengeneza simu hapa duniani..
maana unauelewa sana na haya mambo
I APPRECIATE

Unamaanisha Chifu-mkwawa anafanyia Tecno Mobile au?
 
Last edited by a moderator:
ymollel
Jipindue uwezavyo,bishana uwezavyo,ila mwisho wa siku kubali kuwa Tecno n simu nzuri kwa umasikin wetu ila kuifananisha Tecno na Galaxy.!!bange hizi..

Kioo cha tecno juani hauon kabisa,.
Baadhi ya Watu wanalalamika waki restore sim zao ndo mwisho haiwak tena..

Mi sidhan kama duniani watu ni wajinga kiasi cha kununu samsung,iphones,bb,etc. Kwa bei kubwa wakat tecno ya bei ndogo ipo,ila n kwasababu haina vwango..

Kitu ambacho kilifanya niidhau tecno,n camera,nilijaribu kuishndanisha camera ya Tecno phantom ambayo n 8mp na ya nokia e63 ambayo n 3.2mp na ya blackberry q5 ambayo n 5mp,eti ya blackberry(5mp)na ya nokia e63(3.2mp) ikawa bora kuliko ya tecno(8mp)..


Unajua kuwa Galaxy S4 huwa zinaripuka ?
 
Last edited by a moderator:
Na kwa taarifa ni kwamba hakuna simu ambayo juani inaonesha vizuri. Labda kifaa cha kindle pek yake

zipo kaka karibia symbian belle zote na baadhi ya lumia zinagonga hadi 10,000 nits hiyo ni mara 2 au 3 ya simu ya kawaida. pia simu za nokia zinakuja na clear black display ambazo zinareflect mwanga wa jua yet zinaondoa na glare na ukiangalia lumia hizi mpya kama 1520 ina technology mpya inaitwa assertive display ambayo tumeona demo yake inavyoweza kufanya

Capture_2.JPG


lumia 1520 ni hio nyekundu pia kama still huamini cheki n hii video

Nokia Lumia 1520 sunlight readability enhancement mode (Apical Assertive Display) - YouTube

hii technology imekuwa developed na apical
 
ni hummingbird ipi? exynos ya samsung? kama inarun android 2.3 kushuka chini its ok ila kama inarun kuanzia android 4 kupanda nayo pia ni mbaya

ni samsung, ina os 2.3 sasa vipi, hummingbird nayo inaoparate vizuri?
 
yap nimemaanisha hivyo kaka kwanza nianze na introduction maana najua kuna criticism zitakuja. simu haijalishi imetengenezwa wapi bali tunatakiwa tujali imetengenezwa na nani. manufacture kama apple na samsung wanadesign simu halafu ndio zinapelekwa china kutengenezwa kwa wingi. ule uzuri unaouona kwenye iphone hautokani na foxcon bali ni apple wenyewe waliofanya design.

design ya simu ni kubwa sana na inacost mabilioni ya hela kutengeneza prototype kabla ya kwenda kiwandani kutengeneza kwa wingi. hawa tecno na karibia manufacture wote wa mediatek wao hawadesign simu wala hawana viwanda bali wanakwenda tu china kutoa order na kueka logo zao.

sasa hivi kuna pikipiki zinaitwa mkombozi kuna nyengine zinaitwa mtanganyika zipo mitaani munataka kusema na hawa jamaa wana kiwanda tanzania cha pikipiki? hawa ni kama tecno wanaenda tu kutoa order ya simu huko.

kaka njunwa umenipa challenge ya phantom nilishawah kuonesha simu kama phantom ila sio mbaya nitarudia tu hapa. hebu tuiangalie kwa makini phantom yetu kama sio mtanikosoa
2013_10$largeimg201_Oct_2013_095954580.jpg

phantom ni hiyo nyeupe na hapo kwenye design ya simu tunaona
1.camera 8mp
2.design yake kuna camera hump ya duara imetokezea kidogo
3.flash nayo ni ya duara ipo pembeni ya camera
4.spika ipo kwa chini
5.juu ya spika kuna description ya maneno toka kiwandani

tumeona nyuma ipoje tuje mbele sasa
phantom_white__77578.jpg

1.angalia spika ye mbele hapo juu
2. kioo ukubwa wa inch 5
3. resolution ya 1280x720

njoo internal za ndani
1.ram 1gb
2.internal memory 4gb
3. hsdpa 2100 pekee

ukimaliza hapo njoo angalia simu hizi
ZOPO-ZP810-Quad-Core-Phone-1.jpg

sku41666.jpg


angalia position ya camera angalia flash, angalia spika, angalia spika ya mbele zote zina 8mp tena imeandikwa kwa nyuma zote zina 4gb zote ram 1gb zote zina hsdpa 2100 karibia kila kitu kinafanana je ni coincidence?

Umetisha mkuu kiukweli nakupongeza kwa hilo ufafanuzi wako upo wazi + ushahidi wakutosha.Big Up:thumbup:
 
Unajua kuwa Galaxy S4 huwa zinaripuka ?

Hahahha..
Mkuu snipa hata mimi natumia Tecno pad min,lakin n kwasababu ya umasikin tu,ningekua na ela ningenunua samsung tab 3..

Somtymz tusiwe wazalendo wa kijinga kwa vtu tunavyotumia,tecno hampat samsung..
 
Last edited by a moderator:
Hahahha..
Mkuu snipa hata mimi natumia Tecno pad min,lakin n kwasababu ya umasikin tu,ningekua na ela ningenunua samsung tab 3..

Somtymz tusiwe wazalendo wa kijinga kwa vtu tunavyotumia,tecno hampat samsung..
unajua zile symbian za zamani hazikuwa low end ukiwa na simu kama n95 au e63 kama hivyo unatumia flagship ya zamani. zilikuwa zinauzwa mamilion ya hela ila sababu zimepitwa na wakati ndio maana ukazipata kwa bei rahisi. simu kama n95 sensor yake ya camera ni kubwa kama ilivyo simu za sasa hivyo usishangae ikipiga picha nzuri kuliko simu za sasa. na quality ya picha si megapixel ni vitu vyengine tu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom