Yani humu ndani kila siku simu yenye majanga ni tecno,naww ndo kwanza unataka ukanunue tecno..buy tecno at your own risk
simu ni ma2zo kaka
Yani humu ndani kila siku simu yenye majanga ni tecno,naww ndo kwanza unataka ukanunue tecno..buy tecno at your own risk
mkuu unaniumiza roho dah
ymollel
Jipindue uwezavyo,bishana uwezavyo,ila mwisho wa siku kubali kuwa Tecno n simu nzuri kwa umasikin wetu ila kuifananisha Tecno na Galaxy.!!bange hizi..
Kioo cha tecno juani hauon kabisa,.
Baadhi ya Watu wanalalamika waki restore sim zao ndo mwisho haiwak tena..
Mi sidhan kama duniani watu ni wajinga kiasi cha kununu samsung,iphones,bb,etc. Kwa bei kubwa wakat tecno ya bei ndogo ipo,ila n kwasababu haina vwango..
Kitu ambacho kilifanya niidhau tecno,n camera,nilijaribu kuishndanisha camera ya Tecno phantom ambayo n 8mp na ya nokia e63 ambayo n 3.2mp na ya blackberry q5 ambayo n 5mp,eti ya blackberry(5mp)na ya nokia e63(3.2mp) ikawa bora kuliko ya tecno(8mp)..
i love my tecnoP5. msg chatting ya mtu zipo hadi zaidi ya elfu no problm. kwa upande wa internet ndo kabisa inanifurahisha. kuhusu storage nimejaza mavideo,music na picha za kutosha. in general naipenda sana hii simu. ya kwako labda ni feki. au umedownload mafile yenye virus from unreliable source. pole sana.
ymollel
Jipindue uwezavyo,bishana uwezavyo,ila mwisho wa siku kubali kuwa Tecno n simu nzuri kwa umasikin wetu ila kuifananisha Tecno na Galaxy.!!bange hizi..
Kioo cha tecno juani hauon kabisa,.
Baadhi ya Watu wanalalamika waki restore sim zao ndo mwisho haiwak tena..
Mi sidhan kama duniani watu ni wajinga kiasi cha kununu samsung,iphones,bb,etc. Kwa bei kubwa wakat tecno ya bei ndogo ipo,ila n kwasababu haina vwango..
Kitu ambacho kilifanya niidhau tecno,n camera,nilijaribu kuishndanisha camera ya Tecno phantom ambayo n 8mp na ya nokia e63 ambayo n 3.2mp na ya blackberry q5 ambayo n 5mp,eti ya blackberry(5mp)na ya nokia e63(3.2mp) ikawa bora kuliko ya tecno(8mp)..
cm nishaiformat lkn bdoFortmat cm kk ndio suluhisho
Shida kweli kweli ndugu!cm nishaiformat lkn bdo
Unajua kuwa Galaxy S4 huwa zinaripuka ?
Na kwa taarifa ni kwamba hakuna simu ambayo juani inaonesha vizuri. Labda kifaa cha kindle pek yake
ni hummingbird ipi? exynos ya samsung? kama inarun android 2.3 kushuka chini its ok ila kama inarun kuanzia android 4 kupanda nayo pia ni mbaya
ni samsung, ina os 2.3 sasa vipi, hummingbird nayo inaoparate vizuri?
yap nimemaanisha hivyo kaka kwanza nianze na introduction maana najua kuna criticism zitakuja. simu haijalishi imetengenezwa wapi bali tunatakiwa tujali imetengenezwa na nani. manufacture kama apple na samsung wanadesign simu halafu ndio zinapelekwa china kutengenezwa kwa wingi. ule uzuri unaouona kwenye iphone hautokani na foxcon bali ni apple wenyewe waliofanya design.
design ya simu ni kubwa sana na inacost mabilioni ya hela kutengeneza prototype kabla ya kwenda kiwandani kutengeneza kwa wingi. hawa tecno na karibia manufacture wote wa mediatek wao hawadesign simu wala hawana viwanda bali wanakwenda tu china kutoa order na kueka logo zao.
sasa hivi kuna pikipiki zinaitwa mkombozi kuna nyengine zinaitwa mtanganyika zipo mitaani munataka kusema na hawa jamaa wana kiwanda tanzania cha pikipiki? hawa ni kama tecno wanaenda tu kutoa order ya simu huko.
kaka njunwa umenipa challenge ya phantom nilishawah kuonesha simu kama phantom ila sio mbaya nitarudia tu hapa. hebu tuiangalie kwa makini phantom yetu kama sio mtanikosoa
![]()
phantom ni hiyo nyeupe na hapo kwenye design ya simu tunaona
1.camera 8mp
2.design yake kuna camera hump ya duara imetokezea kidogo
3.flash nayo ni ya duara ipo pembeni ya camera
4.spika ipo kwa chini
5.juu ya spika kuna description ya maneno toka kiwandani
tumeona nyuma ipoje tuje mbele sasa
![]()
1.angalia spika ye mbele hapo juu
2. kioo ukubwa wa inch 5
3. resolution ya 1280x720
njoo internal za ndani
1.ram 1gb
2.internal memory 4gb
3. hsdpa 2100 pekee
ukimaliza hapo njoo angalia simu hizi
![]()
![]()
angalia position ya camera angalia flash, angalia spika, angalia spika ya mbele zote zina 8mp tena imeandikwa kwa nyuma zote zina 4gb zote ram 1gb zote zina hsdpa 2100 karibia kila kitu kinafanana je ni coincidence?
Unajua kuwa Galaxy S4 huwa zinaripuka ?
Na kwa taarifa ni kwamba hakuna simu ambayo juani inaonesha vizuri. Labda kifaa cha kindle pek yake
unajua zile symbian za zamani hazikuwa low end ukiwa na simu kama n95 au e63 kama hivyo unatumia flagship ya zamani. zilikuwa zinauzwa mamilion ya hela ila sababu zimepitwa na wakati ndio maana ukazipata kwa bei rahisi. simu kama n95 sensor yake ya camera ni kubwa kama ilivyo simu za sasa hivyo usishangae ikipiga picha nzuri kuliko simu za sasa. na quality ya picha si megapixel ni vitu vyengine tuHahahha..
Mkuu snipa hata mimi natumia Tecno pad min,lakin n kwasababu ya umasikin tu,ningekua na ela ningenunua samsung tab 3..
Somtymz tusiwe wazalendo wa kijinga kwa vtu tunavyotumia,tecno hampat samsung..