msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,840
- 6,141
Laki mbili unaweza kutafuta aina nyingine ya cm hata Huawei au Samsung agalaxy Acsend......techno hata ungenunua ya laki nne haina ubora wa pivha na ukiwa nje ya eneo lenye 3G net ni tatizo sanaaaaa
Samsung agalaxy Acsend
EBWANA NOMA..