Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,657
- 16,009
simu za kichina
samsung inategemea ukipata ya kichina byproduct nayo hovyo tuuuNjooni Samsung hutojutia hata kidogo ☻mimi huwa situmii sana mtandao lakini toka jana simu niliijaza full mpaka sasa ina asilimia 59% , Huwezi jutia kumiliki Samsung [R]Naipenda sana simu yangu wala.sichoki kuitumia ..
Mwenye chake Mpe natumia xiaom ambayo ipo no 5 duniani simu safi kabisa ina mwaka ninayo, Huawei ni Nzuri pia ndio maana ipo no 3 chini ya Samsung na Apple, sasa huyu tecno hata no 20 tu hayupoYeah wako vizuri ila hawamfikii myama huawei
Hii pia ina matatizo yake aisee. Inazingua sometimes ku sense touch.Jaribu tecno w5 lite hutojuta.
Vp kwa Samsung note 4, niliitoa note 3 yangu kwa sababu ya kula moto kwa sasa nataka nichukue note 4, Je nayo inakula sana moto?Samsung note 3 zinakula sana moto
Samsung ikianza kuchoka inabidi utembee na chaja kila unapoenda,kwa siku unaichaji hata mara tatuNjooni Samsung hutojutia hata kidogo ☻mimi huwa situmii sana mtandao lakini toka jana simu niliijaza full mpaka sasa ina asilimia 59% , Huwezi jutia kumiliki Samsung [R]Naipenda sana simu yangu wala.sichoki kuitumia ..
Unaweza punguza sauti - au nenda setting -> sound.wadau hizi Tecno k7 sehemu ya kuweka silence kwenye sauti iko sehemu gani!
Hizo simu hazina ubaya huo mnaoutangaza, sema tu ni kuwa u mshamba wa simu na changamoto ndogo kama virus zinakupiga chenga. Kwa urahisi tu ifanyie factory reset hio simu kisha weka kaspersky antivirus ili isijirudie hio shida.
Mkuu msaada jinsi ya ku'update maana na nasumbuliwa na stucks kwenye k7Jaribu ku update your HiOS inaweza saidia yangu pia ilianza kunizingua lkn baada ya ku I update naona iko poa.
Campus=×Campus direction app hazifanyi kazi kwenye hizi simu, kuna ufumbuzi wowote.