Tecno k7 spark ni mbaya

Tecno k7 spark ni mbaya

runtown

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
844
Reaction score
1,169
Habar za mida hi wana jamvi. Naandika uzi huu nikiwa na hasira sana hizi tecno k7 ni mbovu na ni moja kati ya product mbovu zilizowahi kuingia hapa nchini yani nimeitumia miezi mitano sasa hiv majanga matupu kila nikigusa Whatsapp haifai najuta sana kununua hi product
 
Last edited:
sio wewe tu kuna wengi zinawatesa na kila moja ina tatizo lake
 
Kumbe tuko wengi, hata mimi INA miezi 3 lakini sasa najiandaa kumpatia house girl maana naona haina hadhi yangu kabisa. Ina stack balaa!!
 
Njooni Samsung hutojutia hata kidogo ☻mimi huwa situmii sana mtandao lakini toka jana simu niliijaza full mpaka sasa ina asilimia 59% , Huwezi jutia kumiliki Samsung [R]Naipenda sana simu yangu wala.sichoki kuitumia ..
Samsung inategemea na aina, ni Samsung aina gani yako?
 
Njooni Samsung hutojutia hata kidogo ☻mimi huwa situmii sana mtandao lakini toka jana simu niliijaza full mpaka sasa ina asilimia 59% , Huwezi jutia kumiliki Samsung [R]Naipenda sana simu yangu wala.sichoki kuitumia ..
samsung ya aina gani
 
Hiyo namba ya mama murin hapo ya nini sasa!
 
Njooni Samsung hutojutia hata kidogo ☻mimi huwa situmii sana mtandao lakini toka jana simu niliijaza full mpaka sasa ina asilimia 59% , Huwezi jutia kumiliki Samsung [R]Naipenda sana simu yangu wala.sichoki kuitumia ..
Samsung note 3 zinakula sana moto
 
Back
Top Bottom