Tecno k7 spark ni mbaya

Tecno k7 spark ni mbaya

Habar za mida hi wana jamvi. Naandika uzi huu nikiwa na hasira sana hizi tecno k7 ni mbovu na ni moja kati ya product mbovu zilizowahi kuingia apa nchin yan nimeitumia miez mitano sasa hiv majanga matupu kila nikigusa tsap haifai najuta sana kununua hi product
Sasa unataka tumia miez mingapi mkuu
 
Habar za mida hi wana jamvi. Naandika uzi huu nikiwa na hasira sana hizi tecno k7 ni mbovu na ni moja kati ya product mbovu zilizowahi kuingia apa nchin yan nimeitumia miez mitano sasa hiv majanga matupu kila nikigusa tsap haifai najuta sana kununua hi product



MKUU MNUNULIE MAMA MAURIN SIMU YA WHATSAP AU ANATUMIA NAMBA GAN WHATSAP, NIMEMCHEK KWA NAMBA YA TIGO HAYUPO WHATSAP


Hi hi hihi hi
Joseverest
 
Tecko ni nzuri tu. Sema watu wengine. Kitu kidogo tu inawashinda kusove. Kwa mfano kajaza mavideo mpaka CM inashindwa kuvumilia
I
Kama SIM haitastaki ni nn. Mbona me yangu haijawahi sumbua na inamda zaidi ya mleta mada.[emoji23][emoji23]
Wewe unakataa
 
mm yangu wala hainisumbui..wkt mwingne ni virus...jaribu kui restore au uiflash kbs
 
Hizo simu hazina ubaya huo mnaoutangaza, sema tu ni kuwa u mshamba wa simu na changamoto ndogo kama virus zinakupiga chenga. Kwa urahisi tu ifanyie factory reset hio simu kisha weka kaspersky antivirus ili isijirudie hio shida.
 
TECHNO is synonymous na ubaya
Mkuu Ila hizo simu hazina Ubaya wa kiasi hicho[emoji38] Kama watu wanavyozitangazaga(sababu nishatumia Phantom 6 na J8) sema tu shida ni kwamba utakuta Mtu kanunua cm ya laki na Nusu Ina Ram 1GB na Storage 8GB anataka aijaze maApps Kama Simu ya laki 5 au simu yenye Ram 3GB

Shida yangu na Tecno ilikua kwenye Display
 
Mkuu Ila hizo simu hazina Ubaya wa kiasi hicho[emoji38] Kama watu wanavyozitangazaga(sababu nishatumia Phantom 6 na J8) sema tu shida ni kwamba utakuta Mtu kanunua cm ya laki na Nusu Ina Ram 1GB na Storage 8GB anataka aijaze maApps Kama Simu ya laki 5 au simu yenye Ram 3GB

Shida yangu na Tecno ilikua kwenye Display

Kuna watu kibao nishawaona wanatumia hizi simu...kwa kweli sijawahi elewa kwanini wanatumia huu mshipa wakati kuna simu more durable kama Xiaomi na zina engine imara na bei ndogo. Tena unapata stable ROMs with regular OTA updates
 
Me nina katecno s1 nilinunua baada ya kudunduliza biashara ya maandazi,nakapenda sana
 
Kuna watu kibao nishawaona wanatumia hizi simu...kwa kweli sijawahi elewa kwanini wanatumia huu mshipa wakati kuna simu more durable kama Xiaomi na zina engine imara na bei ndogo. Tena unapata stable ROMs with regular OTA updates
Shida ya Xiaomi upatikanaji wake ni mgumu,Ila Kama wakija Bongo haki ya Mungu Tecno mbona atafungasha virago.

Sema sijawahi tumia hizo Xiaomi nasikia tu watu wakizisifia,Ila ntajitahidi niagize hata moja nizijaribu sababu nasikia kwenye battery ziko vizuri
 
Back
Top Bottom