candiasis
JF-Expert Member
- Dec 29, 2017
- 371
- 439
Sasa unataka tumia miez mingapi mkuuHabar za mida hi wana jamvi. Naandika uzi huu nikiwa na hasira sana hizi tecno k7 ni mbovu na ni moja kati ya product mbovu zilizowahi kuingia apa nchin yan nimeitumia miez mitano sasa hiv majanga matupu kila nikigusa tsap haifai najuta sana kununua hi product