Balaa la tecno k7

Balaa la tecno k7

runtown

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
844
Reaction score
1,169
Habari za mida hii waku.....



Kichwa cha habari hapo juu chahusika


Hi cm natumia tecno k7 cjui ina matatizo gan yan nikiwa natuma txt za kawaida hazitoki nikiwa nimeeka neno sex yan ni matatizo matupu cjui ata nifanyaje nikitaka kuomba show nikiandika tu sex txt haitok naombe msaada wa kujuzwa kama hili balaa linanipata mm tu au wote humu

Nitangulize shukran za dhat
 
Aiseee we limbuken wa smart nn
 
Ndoo maana tecno hata ya bure
Stumii
 
Itakua ina block offensive words...nenda language input kule ka disable block offensive words kweny keyboard yako
 
Itakuwa imefunga.jaribu tena baada ya ramadhani kupita
 
Yangu ni aina ingine bt huwa inagicha hefufi f,.. Jwenye headinga au habari fulani.
 
Back
Top Bottom