Technically, Askofu Gwajima kashaondolewa CCM

Technically, Askofu Gwajima kashaondolewa CCM

Askofu Mkuu sahau kuteuliwa na Chama kugombea KAWE. Umeuponza
Safari yake ya kisiasa imekwisha akamalizie maisha yake kanisani kwake haya mambo anayoyatafuta ndani nchi hii yatammaliza sijui kama anaelewa maana ya ile rangi nyeusi kati kati ya bendera ya Tanzania.
 
Watz ni wepesi kusahau. Hawajui kujifunza, hili nalo litapita kama yalivyopita mengine.
 
Muda wa sadaka na mafungu ya kumi kumiminika kanisani kwa mjoli wa Bwana ni sasa!!!

Hiyo itakua zaidi ya mshahara wa ubunge!!

Waliomtuma ni wazito,lazima wamemhakikishia maslahi kabla ya hiyo press!!
 
Kwahiyo asikemee utekaji kisa ubunge?
 
 
Mimi nazikubali 4 R's za mheshimiwa ila sikujua maana yake, kumbe Ni :

1--Maridhiano
2--Ustahimilivu
3--ujenzi wa demokrasia
4--
Ngoja nione kwenye swala la Gwajima tunatumia 'R' ipi.
 
Ila bado Ni potential candidate akiwa chama pinzani kwenye fair election!
Na akiamua kukomaa na CCM, atarudi kwa kishindo 2035, kwani 2030 bado mama atakuwa kweye madaraka ya chama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ila bado Ni potential candidate akiwa chama pinzani kwenye fair election!
Na akiamua kukomaa na CCM, atarudi kwa kishindo 2035, kwani 2030 bado mama atakuwa kweye madaraka ya chama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nani atamtangaza mshindi? Hata lile Kanisa lake linaweza kupigwa nyundo akabaki kwake akila pensheni ya ubunge wa One-term 2020-2025 (WANTAM)
 
Back
Top Bottom