SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Askofu Mkuu sahau kuteuliwa na Chama kugombea KAWE. Umeuponza
Ila hii haikumsaidia Slaa.Askofu ataanza kuishi kwa matamko na press ili aendelee kuwa relevant
Alijua anafanya nini na alishajipanga for outcome. So hii sio suprise kwakeAskofu Mkuu sahau kuteuliwa na Chama kugombea KAWE. Umeuponza
Askofu ataanza kuishi kwa matamko na press ili aendelee kuwa relevant
Atagombea urais. Ubunge sio level yake!Askofu Mkuu sahau kuteuliwa na Chama kugombea KAWE. Umeuponza
MhhhNileteeni Gwajima 😂😂
ungetoa hiyo "i" ingependeza zaidi.Nileteeni Gwajima 😂😂
all is possible!WANASIHASA SIO WATU WA KUWAAMINI HATA BAHATI MBAYA UNAWEZA KUKUTA WAMEMTUMA ILI WATUBADILISHIE UPEPO
NIONDOLEENI GWAJIMANileteeni Gwajima 😂😂
Watu wengi hamjui siasa za Bongo kumbe. Ukweli ni kwamba alishajua kuwa hateuliwi tena ndiyo maana kafanya hiyo press. Hata hivyo amesema ukweli.Askofu Mkuu sahau kuteuliwa na Chama kugombea KAWE. Umeuponza