Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 8,004
Papa kasema wabariki mashoga ma mali zao. Nashani wewe uko kwenye ndoto hujasoma mitandaoPapa hakusema wabariki ndoa za jinsia moja,yeye mwenyewe hakubaliani na mahusiano ya watu wa jinsia moja,baadhi ya watu wenye malengo yao,wanapotosha,na hata hao baadhi ya watumishi wa kanisa katoliki,hakuna sehemu wanasema wanapinga tamko la Papa,kwasababu hakuna tamko alilosema barikini ndoa za jinsia moja.Vatican wana official website yao,hakuna ushahidi.
Ndomaana nimekuuliza,umeona kwenye website yao official ya Vatican wakiwa wameandika uliyoyaandika,au wewe kila mtandao unauamini tu?Papa kasema wabariki mashoga ma mali zao. Nashani wewe uko kwenye ndoto hujasoma mitandao
Ndiyo nimeona. Na hata hizo nchi za Malawi, Nigeria, Poland na Ghana zimetoa misimamo kutokana na waraka huo. Kubali tu kuwa Papa ALIKENGEUKANdomaana nimekuuliza,umeona kwenye website yao official ya Vatican wakiwa wameandika uliyoyaandika,au wewe kila mtandao unauamini tu?
Hakuna sehemu kwenye reliable source za information,imesemwa kuwa wamepinga suala la Papa kuhusu ndoa za jinsia moja,kwasababu wao wanajua fika kua Papa hakusema Kama inavyopotoshwa na baadhi ya vyombo vya habari na watu wenye nia zao.Ndiyo nimeona. Na hata hizo nchi za Malawi, Nigeria, Poland na Ghana zimetoa misimamo kutokana na waraka huo. Kubali tu kuwa Papa ALIKENGEUKA
Hakuna sehemu kwenye reliable source za information,imesemwa kuwa wamepinga suala la Papa kuhusu ndoa za jinsia moja,kwasababu wao wanajua fika kua Papa hakusema Kama inavyopotoshwa na baadhi ya vyombo vya habari na watu wenye nia zao.
Huku kuna wajinga wengi sana, ajabu ndio utakuta kila siku wanajiita GT's, basi JF ndio itakuwa na GT's wa ajabu sana wasioweza hata kutafuta information toka kwenye reliable sources, na ukitazama vile wanavyojazana ujinga huku utashangaa, kuanzia kule hoja mchanganyiko mpaka huku siasani...Papa hakusema wabariki ndoa za jinsia moja,yeye mwenyewe hakubaliani na mahusiano ya watu wa jinsia moja,baadhi ya watu wenye malengo yao,wanapotosha,na hata hao baadhi ya watumishi wa kanisa katoliki,hakuna sehemu wanasema wanapinga tamko la Papa,kwasababu hakuna tamko alilosema barikini ndoa za jinsia moja.Vatican wana official website yao,hakuna ushahidi.
Nikuelemishe tu kuwa ule waraka ninwa KANISA KATOLIKI. Sio wa PAPA. Papa kama mkuu wa Kanusa alichofanya ni kuuwekea sahihi uanze kutumika kama taratibu zilivyo.Ndiyo nimeona. Na hata hizo nchi za Malawi, Nigeria, Poland na Ghana zimetoa misimamo kutokana na waraka huo. Kubali tu kuwa Papa ALIKENGEUKA
Ni mashoga tu kama wewe ndiyo hamuoni tatizo kwenye kauli ya Papa Francis kwa sababu mumezoea kutifuana mavi. TEC lazima watokeze waweke msimamo kama Malawi, Nigeria na GhanaHuku kuna wajinga wengi sana, ajabu ndio utakuta kila siku wanajiita GT's, basi JF ndio itakuwa na GT's wa ajabu sana wasioweza hata kutafuta information toka kwenye reliable sources, na ukitazama vile wanavyojazana ujinga huku utashangaa, kuanzia kule hoja mchanganyiko mpaka huku siasani...
Inashangaza sana, akili wanazo hawataki kuzitumia, ajabu wanataka TEC ndio wawasaidie kutafsiri kilichoandikwa kwenye ule waraka wa Vatican, hii level ya ujinga nikiri wazi sijawahi kuiona popote hapa duniani, ni special huku JF!.
Hata kama Nigeria, China, Afghanistan na pote pengine wametoa matamko yao, hatuna sababu ya kuiga kila kitu mpaka maamuzi ya wengine, huu utumwa wa kifikra unaotafuna bongo za GT's uchwara wa JF narudia tena ni special, wajinga wenye confidence ya juu sana!.
- Waraka uko wazi waende wakausome wauone, ajabu wanaweza wakausoma na bado wasiyaamini macho yao, wawaite tena TEC kuuliza kama macho yao yanawadanganya au vipi!.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wamesema hawawezi kumbariki shoga wala mali yake kwa kuwa kufanya hivyo ni sawa na kuukbali ushoga. Ppa Francis ni adui wa UKATOLIKI, periodNikuelemishe tu kuwa ule waraka ninwa KANISA KATOLIKI. Sio wa PAPA. Papa kama mkuu wa Kanusa alichofanya ni kuuwekea sahihi uanze kutumika kama taratibu zilivyo.
Waraka haukuibuka hewani. Umefanyiwa kazi na tafiti za kutosha.
Na hao unaosema wameupinga, sio kweli. Walichofanya ni kusisitiza tu kuwa hawatafungisha ndoa za jinsia moja ambao ndio msimamo wa kanisa mpaka leo.
- Unawaamrisha TEC kama nani?Ni mashoga tu kama wewe ndiyo hamuoni tatizo kwenye kauli ya Papa Francis kwa sababu mumezoea kutifuana mavi. TEC lazima watokeze waweke msimamo kama Malawi, Nigeria na Ghana