Mkuu,
Sio uzushi, na sijasema Mkapa Alikuwepo. Kuwa muelewa.
Haya mambo yalikuwa 'behind the scene' ila sasa yamedhihirishwa na hao wazee kuwa wapo upande upi.
Ushauri wao ni kwamba: Makongoro ataunganisha wana CCM ambao kwa mujibu wa maelezo yao, CCM kwa sasa imejaa nyufa.
UKAWA hatuogopi jina,hata huku kwetu kuna Vincent Nyerere na Yericko Nyerere,wanaweza Kum-counter attack Makongoro.
1.UBUNGE ULITENGULIWA na mahakama kwa kosa la kuanza kampeni mapema
2.Cha pombe Mkapa/uhuru kenyatta na bush wamefanya lipi baya kwa nchi zao sababu ya POMBE
3.ameiheshimu sana nchii hii kwa kutokuwa mtoto fisadi.Je makongoro utamfananisha na FRED LOWASSA/RIDHIWAN au HUSSEIN MWINYI?????
taja nani anafaa zaidi ya makongoro ccm???
tatizo sio CCM kwa ujumla wake bali ni top uongozi
huko china chama kimoja kimetawala miaka kibao na kikawa kila RUSHWA NA UFISADI ILE MBAYA-rais mpya wa china JIN ameamua kupamba na RUSHWA na sasa watawala na maofisa wa Zamani wako magerezani na wengine wamenyongwa
HATA kama CDM/CUF wataingia madarakani ila KIONGOZI mkuu au rais ndiye dira na sio CHAMA KWA UJUMLA WAKE
africa kama china hatuna taasisi imara kwa hiyo tunaitaji viongozi imara.MAREKANI NA ULAYA WANA TAASISI IMARA kwa hiyo hata fisadi akiwa rais bado atakuwa na wakati mgumu wa kufisadi
Mkuu,
Sio uzushi, na sijasema Mkapa Alikuwepo. Kuwa muelewa.
Haya mambo yalikuwa 'behind the scene' ila sasa yamedhihirishwa na hao wazee kuwa wapo upande upi.
Ushauri wao ni kwamba: Makongoro ataunganisha wana CCM ambao kwa mujibu wa maelezo yao, CCM kwa sasa imejaa nyufa.
Niwaambie kitu .. Sizungumzi kwa unafiki. Nilipomuona Makongoro asubuhi hii kwenye Clouds TV. nimebubujikwa na machozi....nasema kwa dhati.
ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.
kwa hiyo unatuambia kuwa lowassa alikuwa anaiwakilisha ukawa huko ccm?mbona hueleweki?ukawa inapambana na ccm,na si makongoro au lowasa,labda umechanganya ukawa na gamba mwenzio laki si pesa huyo ndiye aliyekuwa akimtukuza huyo fisadi wenu.
Mkuu kampeni strategy huwa zina change kutokana na mgombea .................. lets wait and see. Time will tell!! To me Makongoro anaweza kuwa rahisi sana kudeal naye kuliko mtu kama Magufuli au Membe!!
Ndugu vipi kama chama tawala haina uchu wa madaraka basi iachie ukawa!Tanzania kama Tanzania, hakuna upinzani wa ukweli, hakuna cha hao UKAWA au nani sijui, maana ukiviangalia vizuri hivyo vyama vya upinzani vinaendeshwa kwa matukio, hawana sera za kueleweka utakuta tukio fulani likitokea, basi wamelishikilia, likiisha wanakaa kimya likitokea tukio lingine basi wanalishupalia hivyo hivyo reference mgomo wa madereva wa mabasi, katiba mpya, etc etc yani Tanzania hakuna upinzani bado, ni unafiki kwenda mbele na uchu wa madaraka
Utadeal vipi na mtu ambae hajawahi kuwa serikalini.