izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,461
intelligence yao ilikuwa ina deal na team membe, mwandosya na makongokoro wakasahau kila mtu alie chukuwa form ni threat kwao wakazidiwa ujanja na intelligence ya jk iliweza kudukua taarifa kutoka kwao lakini wao wakashindwa kudukua taarifa kwa intelligence ya jk mwisho wa mchezo makombola ya s-300 ya jk intelligence yakaidungua ndege yao na kwa vile walikuwa awana plan B bt jk intelligence walikuwa na mpaka plan D plan A ilikuwa membe plan B ilikuwa magufuli plan c ilikuwa January na plan D ilikuwa migilo bt plan B imeshinda