Team Lowassa walikuwa disorganised!

Team Lowassa walikuwa disorganised!

Kujipanga isingekuwa rahisi mbele ya pesa. Pesa haijawahi kuwa na formula. Team haikuwa na nia thabiti ya kumpeleka Lowasa Ikulu, sema na Mamvi naye alishindwa kusoma alama za nyakati. Maskini sasa kapoteza vyote: pesa, urais, "marafiki".

Kula like mkuu
 
Uteuzi wa magofuli sio kwamba ndivyo ilipangwaHaikuwa hivyo hata kidogooo kamati kuu ilikuja na majina matano lknHuku alimashauri kuuIkimtakaa lowasa.Na lengo la kamati kuu ni kwamba membeapewee nafasi hiyoLknHuku alimashauri hawamtaki membeNdipo wajumbe wakataka majina yote 38 yawekwe mezani na alafu lipigiwe kura moja baada ya jingineeeNdipo meza kuu ikasema haiwezekaniNa halmashauri kuu ikasema na hayo majina hawayatakiWakasema hawajatenda hakiWakaenda mbali zaidi Wakasema hata waziri mkuu tano bora hayumoo. Hata makamu nae hayumooHilo likawa tatizoKuongeza majina pakawa na mvutanoPakawa na mjadala mnooMkuu akamtakaa sana membee pamoja na wale wazee wakeWajumbe hawatakiiUkumbi ukalipukaa atokeeeAtokeee atokeeeeeeBasi akatokaa kwa shinikizooMajina yakabaki manneSasa ikijaaa sifa ya kila mmoja ndipo shughuli ikawa hivyooLknKwenye nyuso zao zinatabasamuLkn moyoni hawaamini kama ndivyo ilivyooo huku wakicheki na nguvu ya upande wa piliAnyway siasa ni maajabuuSasaKuna mpyaa itakujaa soonTusubir

naisubiri mkuu.
Note: weka paragraph utakapo kuja tena
 
Timu Lowasa kwa kweli wamefurahia Membe kukatwa kwani Membe alitumia mabilioni ya Gadafi kuajili Timu kubwa ya kumchafua Lowasa na Lengo la Membe ilikuwa akiwa Rais lazima angemkomoa Lowasa kwa kuwafunga jela Timu nzima yote, sasa wapambe wa Lowasa wapo kwa Magufuli baada ya kusherekea kuanguka kwa Membe.
 
Na iwe fundisho kwa wengine wanaodhania kuwa Watanzania hawana watu wa kuwatetea, hongereni mliotuondolea Lowasa
 
Hawakuwa na plan B

Kwenye kutafuta kuna kupata na kukosa na Lowasa analijua hilo ukumbuke hata Adui wa Lowasa aliungana na January na Membe wakawaleta mseto wa waganga wa kienyeji toka mataifa mbalimbali hadi huko Gambia na Amazoni Membe alikwenda kusaka waganga huku vijana wake wakishinda na kukesha kwenye mitandao kumchafua Lowasa , Timu Lowasa sasa wapo kwa magufuli roho zao zimepoa kwani mtu Hatari kwao katupwa nje .
 
Na iwe fundisho kwa wengine wanaodhania kuwa Watanzania hawana watu wa kuwatetea, hongereni mliotuondolea Lowasa

Pia unapaswa uwape hongera waliomkata baba yako Membe na kamsaidie kuwasafirisha wale waganga wa kienyeji aliowaleta Nchini.
 
Ila ingawa ni mijizi hawa watu...nawapa kapongezi kidogo maana kumkata huyu mtu haikuwa kazi rahisi hata kidogo....
At least wametupunguzia Majambazi mawili

Walitaka kuchemsha kumpitisha Membe lakini ilikuja kugundulika kuwa Membe na January wametumia nguvu nyingi za Giza na wameleta lundo la vigagula Dodoma ndiyo maana wakawakata haraka .
 
Uteuzi wa magofuli sio kwamba ndivyo ilipangwaHaikuwa hivyo hata kidogooo kamati kuu ilikuja na majina matano lknHuku alimashauri kuuIkimtakaa lowasa.Na lengo la kamati kuu ni kwamba membeapewee nafasi hiyoLknHuku alimashauri hawamtaki membeNdipo wajumbe wakataka majina yote 38 yawekwe mezani na alafu lipigiwe kura moja baada ya jingineeeNdipo meza kuu ikasema haiwezekaniNa halmashauri kuu ikasema na hayo majina hawayatakiWakasema hawajatenda hakiWakaenda mbali zaidi Wakasema hata waziri mkuu tano bora hayumoo. Hata makamu nae hayumooHilo likawa tatizoKuongeza majina pakawa na mvutanoPakawa na mjadala mnooMkuu akamtakaa sana membee pamoja na wale wazee wakeWajumbe hawatakiiUkumbi ukalipukaa atokeeeAtokeee atokeeeeeeBasi akatokaa kwa shinikizooMajina yakabaki manneSasa ikijaaa sifa ya kila mmoja ndipo shughuli ikawa hivyooLknKwenye nyuso zao zinatabasamuLkn moyoni hawaamini kama ndivyo ilivyooo huku wakicheki na nguvu ya upande wa piliAnyway siasa ni maajabuuSasaKuna mpyaa itakujaa soonTusubir
Acha stories bana....Mke wa Magufuli alisoma na mke wa Jakaya hivi hii fact haikushtui?
 
Lowassa akiwa siyo mbishi CCM watamtuliza kama walivyomtuliza Malecela 2005. Na hiyo ndo itakuwa Plan B yake ya maana.
 
Ni wazi hii ndio team pekee iliyokuwa na rasilimali fedha na watu lakini ilikosa uongozi au weledi.

Hilo linaonekana mpaka sasa kwa kuwa baada ya kukatwa team hii imepagawa na kuchanganyiwa kabisa.


1-Kuna kundi limechana kadi za ccm.

2-Kuna kundi limetangulia ACT

3-Kuna kundi limebaki kimya ndani ya ccm

4-Kuna kundi limemsapoti magufuli

5-Kuna kundi linatishia kwenda CDM

6-Kuna kundi halijulikani linafanya nini

Bashe yuko kimyaa!

Kingunge yuko kimyaa!

Nchimbi,Simba na Kimbisa hatukusikia kama waliwasilisha ile rufaa yao au la.


Yale mabasi ya Team lowassa hayajulikani yalipo yaani ni full chaos.


Hii ni ishara tosha ya kutokujipanga kwa Team hii.

kwa upande wa Team membe bado ni watulivu

Timu Membe si watulivu bali walikuwa wachache sana na wengi walikuwa waganga wa kienyeji na vijana wa kushinda kwenye mitandao kupika uongo, uzushi na kila mbinu za kumchafua Lowasa , Membe yeye aliwatumia Nape, jack Gotham na Timu za kimafia ambazo sasa zimejikausha tayari na hawana kazi wameludi mitaani .
 
Hivi timu EL hamtaingia msituni kweli? manaake wamewalostisha mmepoteza pesa nyingi jamaa wamewachezea picha la kihindi! tena ambalo halijatafsiriwa! sifurahii ila namhurumia jamaa!
 
Team Lowassa ilikuwa dhaifu sana. Wale wapambe wake wote wameshonwa mdomo kimyaaaa
 
Walitaka kuchemsha kumpitisha Membe lakini ilikuja kugundulika kuwa Membe na January wametumia nguvu nyingi za Giza na wameleta lundo la vigagula Dodoma ndiyo maana wakawakata haraka .

Hahaaaaaaaaaa...is it real??
Hv kama wasomi wanaamini uchawi..vp kwa wasiosoma kabisa?
 
Jamani tuache maneno na kejeli, Team Lowassa wameshindwa, tena wameshindwa vibaya. Walijipanga vizuri sana kuliko kambi yoyote ile ya wagombea CCM, Lakini kila mtu ameona nini kilichotokea, haikuwa siasa iliyowafanya washindwe, bali Zengwe Zitto, Goli la Mkono.

Mipango yote ya Team Lowassa inategemea sana mwelekeo wa Lowassa mwenyewe, kama mwenyewe yuko kimya, msitegemee kuna mtu yoyote wa Kambi yake atakuja na issue yoyote ya maana.

Mahali popote Team ikishindwa hali inakuwa kama Msiba, mambo yote yanavurugika kabisa. Jambo kama hili lilimpata pia Kikwete 1995.
Busara pekee ni kukaa kimya na kumalizia issue kimya kimya.

Litakuwa ni jambo la ajabu kabisa kama Team Lowassa hawakuwa na Plan B, hata mimi nitashangaa sana. Sometimes kukubali kushindwa nako kunaweza kuwa ni Plan.

Kushindwa kubaya sana. Poleni Team Fisadi Lowassa, hiyo ndio CCM na CCM ina wenyewe!!


Mapinduziii .....Daimaaaaaaaa! hayo ndo yenyewe.
 
Hivi timu EL hamtaingia msituni kweli? manaake wamewalostisha mmepoteza pesa nyingi jamaa wamewachezea picha la kihindi! tena ambalo halijatafsiriwa! sifurahii ila namhurumia jamaa!

Lowasa hajatumia pesa zake toka mfukoni pesa nyingi alichangiwa na marafiki isitoshe Lowasa ni tajiri ana Mali nyingi hawezi kuchoka ataishi maisha ya kushiba bila njaa Kama Raila Odinga , wafuasi wa Lowasa wengi sasa wamehamia kwa magufuli kwani Adui wa Lowasa alikuwa Membe na sasa Membe kakatwa wameamua kumuunga mkono magufuli hawaendi kokote.
 
Back
Top Bottom