funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
- Thread starter
- #81
Lowasa yupo imara Kama Raila Odinga alijua mapema kuwa kuna kukosa ama kupata hawezi kuishi maisha ya shida alishajipanga vizuri siku nyingi Timu yake sasa wapo wamehamia Kwa magufuli maisha yaendelee.
Odinga ni kama ana laana amejaribu sana bila mafanikio