funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Ni wazi hii ndio team pekee iliyokuwa na rasilimali fedha na watu lakini ilikosa uongozi au weledi.
Tazama siku ya uzinduzi wa safari ya matumaini ilikuwa ni vurugu tupu.
Hilo linaonekana mpaka sasa kwa kuwa baada ya kukatwa team hii imepagawa na kuchanganyiwa kabisa.
1-Kuna kundi limechana kadi za ccm.
2-Kuna kundi limetangulia ACT
3-Kuna kundi limebaki kimya ndani ya ccm
4-Kuna kundi limemsapoti magufuli
5-Kuna kundi linatishia kwenda CDM
6-Kuna kundi halijulikani linafanya nini
Bashe yuko kimyaa!
Kingunge yuko kimyaa!
Nchimbi,Simba na Kimbisa hatukusikia kama waliwasilisha ile rufaa yao au la.
Yale mabasi ya Team lowassa hayajulikani yalipo yaani ni full chaos.
Hii ni ishara tosha ya kutokujipanga kwa Team hii.
kwa upande wa Team membe bado ni watulivu
Tazama siku ya uzinduzi wa safari ya matumaini ilikuwa ni vurugu tupu.
Hilo linaonekana mpaka sasa kwa kuwa baada ya kukatwa team hii imepagawa na kuchanganyiwa kabisa.
1-Kuna kundi limechana kadi za ccm.
2-Kuna kundi limetangulia ACT
3-Kuna kundi limebaki kimya ndani ya ccm
4-Kuna kundi limemsapoti magufuli
5-Kuna kundi linatishia kwenda CDM
6-Kuna kundi halijulikani linafanya nini
Bashe yuko kimyaa!
Kingunge yuko kimyaa!
Nchimbi,Simba na Kimbisa hatukusikia kama waliwasilisha ile rufaa yao au la.
Yale mabasi ya Team lowassa hayajulikani yalipo yaani ni full chaos.
Hii ni ishara tosha ya kutokujipanga kwa Team hii.
kwa upande wa Team membe bado ni watulivu