Teachers‘ Junction

Mm nina Diploma kwa English na History,Miaka 3 ya uzoefu.Na tayar nimejisajili hapo kwako,niunganishe bas kaka kwa hapo Mbezi.
0655874863
 

Asante kwa taharifa mkuu lakini kwa walimu ambao tupo mikoani inatupa shida sana kuja huko Dsm kfny int.Ushauri wangu ungetoa nafasi tutume CV zetu mf. Mimi ni mwl mzoefu kazin kwa miaka 8, nina cheti drj IIIA, dplm ya ualimu pia sasa hivi nipo Chuo Kikuu Ruaha Irnga mwaka wa 3 nasoma ualimu pia.Lengo langu mara baada ya kuhitimu mwezi wa 7 nikutafute unitafutie shule hapo Dsm.Kama kutakuwa na uwezekano wa uongozi wa shule ulizotangaza hapo juu niwatumie CV yangu ili mara baada ya kuhitimu mwezi wa 7 nije kuandikiana nao mkataba.0752533301.
 

Inawezekana.
wewe tutumie email address yako kama sms kisha tutakutumia form utajaza na kuscan vyeti kisha utaturudishia.
+255753810857
 
Habari wana jf.
kwa sasa tuna hitajio la walimu wa Nursery na lower primary.
1.Nursery nafasi 6
kazi ni ubungo na Tegeta.
salary 200,000/=-250,000/=
chakula cha asubuh na mchana.

2. Lower Primary
nafasi tano
kazi ni Gongo la mboto na ubungo.
salary 200,000/= to 250,000/=
chakula cha asubuh na mchana.
Order zote ni 11/02/2014 mwisho ni 13/02/2014.
+255-753810857.
 
nipo arusha naweza kupata shule ya kufundisha masomo ya commerce na book keeping nina uzoefu wa mwaka mmoja katika hayo masomo.
 
teachers‘ junction;8654069 said:
Inawezekana.
wewe tutumie email address yako kama sms kisha tutakutumia form utajaza na kuscan vyeti kisha utaturudishia.
+255753810857

Asante mkuu nitakuchek kwenye simu yako.Mungu akubariki.
 
Diploma.
nafasi tatu.
English na Social Studies.
Tegeta.
salary 400,000/=
offer nyingine.
Usafiri hadi mwenge.
Chakula cha asubh na mchana.

ni ya haraka.
kama uko tayari plz andaa vihitajiwa.
Cv
Copies of certificatiez
pasport size 3
10,000/= registration fee.
please make sure unakuja kesho
12,02,2014.
at anytime but iwe kesho.
magomen mapipa.
+255-753810857
 
Wewe umeandika tangazo leo then unasema kesho tar 12,unatuchanganya,weka hyo k2 vzur kaka
 
Hallow
Tunazo nafasi za haraka kwa ajili ya walimu wa Diploma na Grade A.

1. Tegeta mbweni.
mathematicz,Science and Social.
400,000/= to 450,000/=

2.Mbezi kimara.
Science and Social.
450,000/= to 500,000/=

3. Grade A, Diploma na Nursery.
Mbezi Beach Africana.
250,000/= to 550,000/=

Nb.
order hizi ni 17,02,2014 hadi
20,02,2014.

+255-753810857.
magomeni mapipa Dar es salaam.
 
teachers‘ junction;8725789 said:
yap kaka jitahidi uwahi kesho asubh.


Nauliza hivi hayo makato ni kila mwezi? mbona hamjibu?
 
teachers‘ junction;8667581 said:
Diploma.
nafasi tatu.

salary 400,000/=

kama uko tayari plz andaa
10,000/= registration fee.
7

ka ero link kadogo...
wakija walimu 50 wote wanalipa reg fee (10000x50) halafu mnawapa kazi watatu tuu..
majanga haya
 
ka ero link kadogo...
wakija walimu 50 wote wanalipa reg fee (10000x50) halafu mnawapa kazi watatu tuu..
majanga haya

Serio jitahd kuwa serious na uwe na akili za kikubwa.
pia penda kuprove unachoandika sio unaropoka coz una uhuru wa kuongea.
walimu walokuja kwetu mwaka 2014 ni Degree 45.
diploma 32
grade A 12
Nursery 21.
Achana na non profesionalz.

Ambapo mpaka sasa
Degree wapo walimu 10
Diploma 2
Grade A 1
Nursary 3
na hawa ni kutokana na ubali,maslahi yao kuwa juu,sababu za kifamilia au uwezo binafsi kuwa mdogo.
so please nakushauri usipende kuropoka.
Hata hivyo Teacherz Junction wanakupa network ya uhitaji wa walimu kwenye mashule hivyo wewe na mwajiri mtakutana na kujadili mshahara na kila kitu.
kisha kukusaidia kusimamia ahadi walizoweka shule mpk unasain mkatb.
hvy wao kuwalipa huduma hy ama at once au ndan ya miezi mitatu.

hata hvyo bado tuna mahitajio ya walimu wa Diploma kwa masomo yote na Nursery Teacherz.
+255753-810857.
 
Mi mwalimu wa English language and history. Experience n'nayo ya 2years, nina degree ya Baed from Udsm.Vile vile nafundisha Literature in English, nahitaji kazi ya mkataba na mshahara kuanzia laki nane,nipo dar.
 
nicheki kama kuna uhitaji wa biology & chemistry . Nina BSc. Ed. chem & biol
 
Kuna watu wa form six sayansi mmeshawahi kuwapa ajira? Kuna mdogo wngu anataka ila ofu yke 10 lisijeenda bure...
 

Ninyi wahuni tu...
 



Acheni usanii

nawauliza hayo makato ni kila mwezi? mbona hamjibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…