TCU vipi Diploma Guidebook?

Kirchhoff

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,369
7,611
Nawashukuru wote tulioshiriki pamoja kufuatilia Ahadi za TCU. Hatimae wamefungua Udahili kwa ajili ya Diploma Holders

Leo ni Tarehe 15/8
Tumesubiri toka usiku na sasa ni mchana na karibia siku inaisha hivihivi. No Guidebook no new message.

Tarehe 11/8
Mchana
Wamesema wanashughulikia Guidebook hadi Tarehe 15 ambayo ni siku ya Jumatatu wiki ujayo.
Niwatakie wikiendi njema japo twateseka.

Asubuhi
Leo wameondoa Tarehe wanasema "cas will be opened soon"

When is "soon"?

Tarehe 10/8
Leo ni tarehe 10/8 lakini bado hakuna tamko lolote. Awali walisema tarehe 8/8 huku wakijua ni sikukuu na wasingefanikisha.

Simu zao hazipatikani. Au wameingia ubia na wauza Bando za Internet na cafe? Au wanalipwa kwa kuwa na traffic nyingi kwenye web yao?

Je hawajakiuka Cyber Crime Act kwa kutoa taarifa za uongo?

Nani wa kuwahukumu?


Tarehe 31/8
Leo ni tarehe 31 mwezi wa saba na nimewahi kuamka ili nijisomee guidebook na kuchagua zangu vyuo mapema lakini hola. Sijaweza wala nini. Bado cas inasema hadi tarehe 31tena wakati ndo leo.

Hiyo guidebook yenyewe bado.

Na ile elfu 30 ya waloomba mkopo before 11July wakiwa na 2.7 -3.4 GPA haijarudishwa.
 
Sorry naombeni kuuliza maana mi Sija elewa wala sijawahi kufanya applctin. guide book 2016/2017 katika vyuo vya afya ngazi ya diploma INA sema kuwa kujiunga na ngazi ya diploma lazma uwe na technician certificate NTA LEVEL 5 au uwe umepita Advance.SAS swali langu ni kuwa.ukiwa umemaliza form IV na ukawa una minimum pass of C &D katika masomo yako yote 9 (tukiachana na ya Dini na mengine) afu ukitaka Ku apply labda CLINICAL MEDICINE ngazi ya diploma ssa Ina maana unachaguliwa au vepe? msaada wenu wakuu.
 
Leo ni tarehe 31 mwezi wa saba na nimewahi kuamka ili nijidomee guidebook na kuchagua zangu vyuo mapema lakini hola. Sijaweza wala nini. Badi cas inasema hafi tarehe 31tena wakati ndo leo.

Hiyo guidebook yenyewe bado.

Na ile elfu 30 ya waloomba mkopo before 11July wakiwa na 2.7 -3.4 GPA haijarudishwa.

Mkuu, ajenda yako kuu ni ipi ?
1. Guidebook
2. Application Fee
3. GPA
?????
 
Leo ni tarehe 31 mwezi wa saba na nimewahi kuamka ili nijidomee guidebook na kuchagua zangu vyuo mapema lakini hola. Sijaweza wala nini. Badi cas inasema hafi tarehe 31tena wakati ndo leo.

Hiyo guidebook yenyewe bado.

Na ile elfu 30 ya waloomba mkopo before 11July wakiwa na 2.7 -3.4 GPA haijarudishwa.
tusubiri tu mkuu mm mwenyewe naangalia website yao kila wakati kama mgonjwa hata ile waliyotoa mwanzo walichelewesha kidogo
 
acheni kupanik Sikh INA Massa 24 sasa wewe ulijua TCU Ni mgahawa kuwa wanadamkia kuuza chai ..halafu hukufuatilia pia guidebook ya degree walisema hvyo hivyo ILS waliwek kwenye SAA tatu usiku sasa kijan usilalmike wakati Sikh bado haijaisha ...subir ifike kesho ndo ulete Uzi wako
 
Sorry naombeni kuuliza maana mi Sija elewa wala sijawahi kufanya applctin. guide book 2016/2017 katika vyuo vya afya ngazi ya diploma INA sema kuwa kujiunga na ngazi ya diploma lazma uwe na technician certificate NTA LEVEL 5 au uwe umepita Advance.SAS swali langu ni kuwa.ukiwa umemaliza form IV na ukawa una minimum pass of C &D katika masomo yako yote 9 (tukiachana na ya Dini na mengine) afu ukitaka Ku apply labda CLINICAL MEDICINE ngazi ya diploma ssa Ina maana unachaguliwa au vepe? msaada wenu wakuu.
kwa masomo yapi ww ccm hueleweki? sema ufaulu wako wa science
 
acheni kupanik Sikh INA Massa 24 sasa wewe ulijua TCU Ni mgahawa kuwa wanadamkia kuuza chai ..halafu hukufuatilia pia guidebook ya degree walisema hvyo hivyo ILS waliwek kwenye SAA tatu usiku sasa kijan usilalmike wakati Sikh bado haijaisha ...subir ifike kesho ndo ulete Uzi wako
Wamjibu hivyooo JeiEf Expert Meeembaaaa?
 
Mkuu, ajenda yako kuu ni ipi ?
1. Guidebook
2. Application Fee
3. GPA
?????
Mkuu ajenda ni Diploma Guidebook na Loan Application Fee kwa wale waliotoa kabla ya 11th July huku wakiwa na GPA X such that 3.5>x>2.6.
 
Rubii nina GPA x such that x>4.4

Hapo nataka wale wa below 3.5 watendewe haki.

NB. Hadi sa hii cas.tcu.go.tz hakusomeki

HAKI ? Haki gani, kama ni"haki ya kusoma digrii" kwanini unawasemea wenye GPA ya kuanzia 2.7 ? Nashauri ungeanza na GPA ya 2.0 maana 2.7 na 3.5 vyote ni vigezo vinavyonyima "HAKI" ya kupata elimu ya juu kwa baadhi ya watu.

Kwa majumuisho niseme tu kwamba kama tutaamua kuangalia suala la kuingia chuo kiHAKI, basi kusiwe na VIGEZO maana ukiweka kigezo chochote maana yake kuna mtu unamnyima "HAKI".
 
HAKI ? Haki gani, kama ni"haki ya kusoma digrii" kwanini unawasemea wenye GPA ya kuanzia 2.7 ? Nashauri ungeanza na GPA ya 2.0 maana 2.7 na 3.5 vyote ni vigezo vinavyonyima "HAKI" ya kupata elimu ya juu kwa baadhi ya watu.

Kwa majumuisho niseme tu kwamba kama tutaamua kuangalia suala la kuingia chuo kiHAKI, basi kusiwe na VIGEZO maana ukiweka kigezo chochote maana yake kuna mtu unamnyima "HAKI".
Nazungumzia HAKI yao ya kurudishiwa fedha Walizotumia kuomba mkopo na udahili kupitia HESLB na NACTE respectively kabla ya TAMKO la TCU la tarehe 11/7/16
 
acheni kupanik Sikh INA Massa 24 sasa wewe ulijua TCU Ni mgahawa kuwa wanadamkia kuuza chai ..halafu hukufuatilia pia guidebook ya degree walisema hvyo hivyo ILS waliwek kwenye SAA tatu usiku sasa kijan usilalmike wakati Sikh bado haijaisha ...subir ifike kesho ndo ulete Uzi wako

Kwa uelewa wangu najua siku moja ina masaa
24.
Masaa hayo ya SIKU MOJA NZIMA yanaanza
kuhesabika saa SITA KAMILI USIKU na
kukamilika/Kuisha saa TANO NA DAKIKA 59 NA
SEKUNDE 59 USIKU.
Katika kufanya applications ONLINE;-
Mtu akikwambia utaanza kuapply chuo tarehe
10 mathalan, maana yake una haki ya kuanza
kufanya hivyo mara tu tarehe hiyo inapotimu
yaani SAA SITA KAMILI USIKU. Kucheleweshwa
kwa namna yoyote ile ni kukupunguzia masaa
na ni kitendo kisicho kubalika na kinapaswa
kulaumiwa, kukemewa na ikibidi kutumbuliwa.
Vivyo hivyo ukiambiwa mwisho wa kuapply ni
tarehe 12 mathalan, maana yake ni hadi saa
TANO NA DAKIKA 59 NA SEKUNDE 59 usiku wa
hiyo tarehe tajwa. Kujaribu kufupisha kwa
namna yoyote ile ni kumuibia mtu muda wake.
Niliyoyasema hapo juu yatakua si kweli endapo
kwa mfano IMETAMKWA BAYANA KWAMBA
MWANZO WA APPLICATIONS NI TAR 10 SAA
NNE ASUBUHI NA MWISHO NI TAR 12 SAA
SABA MCHANA. (Kuwepo na muda specific
ulioainishwa).
Vinginevyo jamaa ana haki ya kulalamikia
kuibiwa muda wake.
TIME IS MONEY.
 
Nazungumzia HAKI yao ya kurudishiwa fedha Walizotumia kuomba mkopo na udahili kupitia HESLB na NACTE respectively kabla ya TAMKO la TCU la tarehe 11/7/16

Ungeweka wazi mkuu HAKI unayoidai, kumbe ni kurudishiwa zile NON REFUNDABLE MONEY. Basi sawa.

Kuna kasumba ya baadhi yetu kutosoma kwa bidii hadi tuambiwe kwamba ni lazima tusome kwa bidii. Kuna watu kibao wamejikuta kwenye kadhia hiyo ya NACTE na TCU kwa sababu walikua wanasoma ki"MBILI NUKTA SABA", Kama hiyo 3.5 ingewekwa tangu zamani wengi wao naamini wangeipata.
 
Back
Top Bottom