kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
vumilieni na hapo bado hawajawapa vyuo na kozi msizotaka
<br />Hiyo bodi tangu imeanzishwa ni miyeyusho tu,labda warudishe kama enzi zile tunakula Ngororo dirishani.
<br />jamani wana jamii tuone kesho labda TCU wataweka kitu hewani