TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Wana jf, hongera sn Kwa kuendelea kuhabarishana. Mm swali Lang ni hiv hizo tarifa Za kwamba selection tayari mmezipata wap? nitumie link plz.
 
Wana jf, hongera sn Kwa kuendelea kuhabarishana. Mm swali Lang ni hiv hizo tarifa Za kwamba selection tayari mmezipata wap? nitumie link plz.

http://www.nacte.go.tz/files/OTHERS/1442815689.pdf

sorry nilimix mwanzoni
 
Jamani majina ya waliokosa vyuo TCU yanapatikanaje wakuu

Dah hadi leo hujayaona mkuu ingia hapa www.tcu.go.tz au unaweza kuingia kwny profile yako utajua kama upo 1st round au unatakiwa ufanye reapplication 2nd round.Thank You
 
Dah hadi leo hujayaona mkuu ingia hapa www.tcu.go.tz au unaweza kuingia kwny profile yako utajua kama upo 1st round au unatakiwa ufanye reapplication 2nd round.Thank You

Alaf kunakitu flani hivi till now sijaelewa mechanism yake inaendaje mkuu

Iko hiv, kunakijana mmoja comption ilimfanya apelekwe 2nd round, ila kwa kuwa yy n muhudhuriaji wa profile yake,

Baada ya kuona profile yake inamuambia achague tena for second round, akajitupia chuo kimoja hv, kikamkubalia, congratulation za kutosha kwa kumaliza kujaza hicho chuo ,

Akaambiwa ur current selection faculty ni hiyo "ikatajwa pamoja na chuo na nafac zilizobaki ilikuwa ni 0"
So automatic inamaana link ya kile chuo iliji disappeare kwa kipindi kile cha first come first serve

Ishu inakuja sasa "majna yaliyotoka kwa wale waliopelekwa 2nd round hayupo" & thn saiv wameambiwa wachague choice 5, na yy yupo

Hii imekaaje wakuu, au mm ndo cjauelewi huu mchakato ulivyoenda, au hayo majina yalitoka ki batch??
 
Alifanya 2nd round application? kama ni 2nd round selection bado hadi deadline itakapofika ambayo ni tarehe 30th,na kuhusu kuselect programme mwanzo ilikuwa unachagua moja ambayo automatical ndiyo unayopelekwa ila baadae wakasema unaweza ukachagua hadi tano ambapo ungeweza kuchange priority of any programmes na hata kudelete,sasa hapa kama umejaza 5 si rahisi kujua utapelekwa ipi,inategemea ufaulu wako na competition
 
wakuu najua nyuzi za 3rd round zpo nyingi ila nimewiwa kuanzisha uzi huu rasmi kwa sababu nilizoztaja kwenye heading.
kwa kuanza mm nina haya mawili ya kutaka kujua kutoka kwenu:
1. website ya tcu inasumbua kufunguka au 'server not found' ni kwangu tu?!
2. baadhi ya faculty kupungua capacity au kusoma 0 inaashiria nini?!
 
wakuu najua nyuzi za 3rd round zpo nyingi ila nimewiwa kuanzisha uzi huu rasmi kwa sababu nilizoztaja kwenye heading.
kwa kuanza mm nina haya mawili ya kutaka kujua kutoka kwenu:
1. website ya tcu inasumbua kufunguka au 'server not found' ni kwangu tu?!
2. baadhi ya faculty kupungua capacity au kusoma 0 inaashiria nini?!

Pia na mm page ya tcu kwangu haifunguki
 
Mimi mwenyewe nimecheki baadhi ya koz capacity znasoma zero wakati deadline bado nashangaa kinoma labda wenzangu nyie ni tofauti??????????
 
Dah hata mie nlimchekia dogo langu naona 0 tu..sasa sielew isitoshe web Yao inazingua
 
Mara ya kwanza ilikuwa 0 hivo na akakosa Dat y now yupo kwenye 3rd applction
 
mimi kuna mtaalam alinijuza kwamba ukiona capacity ipo 0 means that the given institution 2 that program has become full ikiwemo na wewe pia umo ndani yake,,,and when you see negative 5 and whatever means that kuna wa2 watano wamezidi idadi inayotakiwa,,sasa hapo kupata au kukosa hcho chuo itategemea na vigezo ulivyonavyo mfano cutting points(A LEVEL/O LEVEL),,pia kama wanawake wapo weng ktk waombaji huwa wanapewa priority..
 
Back
Top Bottom