TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

msaada plz first come first saved wanamaana gan kwa sis tuliokosa vyuo,,,, na dilisha la second round linafungwa lin,,??

wanaokuw wakwanza kuapply ndyo watakaopata kulngana na remaining capacity,kam remaining capacity n 20 kwnye course husika,applcants 20 wa mwanzo ndyo watakaopata then iyo course inadisappear kwenye list ya course za reapplctn.
 
Kwa jibu nililopewa sasaivi linasema hivi,

Vile vyuo ulivyochagua vinatakiwa vyote vionyeshe priority capacity ni 0, thn jibu mtapewa kwa pamaoja kwamba chuo ulichochaguliwa ww n hiki,

So information ya ww kujuwa kwamba umechaguliwa au hujachaguliwa itakuja baadae
Tena kwa pamoja na watu wote waliochaguliwa

nimekuelewa
 
msaada plz first come first saved wanamaana gan kwa sis tuliokosa vyuo,,,, na dilisha la second round linafungwa lin,,??

First come first save maana yake n hivi, unanafasi moja tu ya kuchose chuo unachokita, na ukishakiselect "add" hutaweza tena kubadilisha chuo au chaguo lako

Example: umechagua st joseph, ukaja ukapata taarifa kuwa chuo kinaongozwa na masister na hakina uwongozi wa wanafunzi, kina ada kubwa, kunausumbufu wa mikopo,wanaita attendence kama shule ya msingi, attendence below 85% hutafanya mtihani wa mwisho doesn't matter we n jembe au genius kiasi gani

Hzo sifa zkakukera ukahitaji kubadilisha chuo au choice yako, bac juwa kwamba haita kubali kwasababu ni first come first save, pia capacity na zenyewe znapunguwa,
Inakuwa kama gusa unate
Naomba kuwasilisha mkuu..!
 
First come first save maana yake n hivi, unanafasi moja tu ya kuchose chuo unachokita, na ukishakiselect "add" hutaweza tena kubadilisha chuo au chaguo lako

Example: umechagua st joseph, ukaja ukapata taarifa kuwa chuo kinaongozwa na masister na hakina uwongozi wa wanafunzi, kina ada kubwa, kunausumbufu wa mikopo,wanaita attendence kama shule ya msingi, attendence below 85% hutafanya mtihani wa mwisho doesn't matter we n jembe au genius kiasi gani

Hzo sifa zkakukera ukahitaji kubadilisha chuo au choice yako, bac juwa kwamba haita kubali kwasababu ni first come first save, pia capacity na zenyewe znapunguwa,
Inakuwa kama gusa unate
Naomba kuwasilisha mkuu..!
acha kupotosha
 
Habari Wana jamii wenzangu, mimi nilifanya application Nacte baada ya Muda nikakuta umebaki choice moja na upande wa status imeandikwa selected, but tarh za hapa juzi nakuta choice zimerudi kama awali na chuo kilichokuwa selected capacity unasoma 0, kiukweli nime panic ndugu zangu naombeni msaada hapo nn kinaendelea?

Usipaniki kabisa mkuu, tena kula bata,kunja nne ujiandae kwenda chuo

Hapo inamaana ww ulishachaguliwa ila chuo bado kilikuwa kinahita wanafunzi zaidi so kikatoa priority capacity ya wanafunzi wanaohitajika/nafasi zilizobaki

Na baada ya zile nafasi kujaa..!! Ikaonyesha kuwa sasa wamejaa kwahyo usiwe na wasiwasi kabisa

Kwasababu moja ya watu waliosababisha chuo kujaa ni ww, enjoy the day mkuu
 
naongelea iyo issue ya first comes first served

Mkuu kumbe huna ufahamu mzuri wa hiyo issue

Ngoja nikupe hint moja thn utaielewa vzur, waulize vijana waliopo chini ya TCU and then wakapelekwa second round kutokana na competition kuwa kubwa kwenye vyuo walivyochaguwa, na wakaapply chuo,

hawo watakupa majibu mazuri ambayo utayaelewa na ukiona maelezo yao hayana tofauti na niliyoyatoa hapo juu, nafikiri utakuwa umejifunza jambo
 
Mkuu kumbe huna ufahamu mzuri wa hiyo issue

Ngoja nikupe hint moja thn utaielewa vzur, waulize vijana waliopo chini ya TCU and then wakapelekwa second round kutokana na competition kuwa kubwa kwenye vyuo walivyochaguwa, na wakaapply chuo,

hawo watakupa majibu mazuri ambayo utayaelewa na ukiona maelezo yao hayana tofauti na niliyoyatoa hapo juu, nafikiri utakuwa umejifunza jambo

acha ubishi usio na manufaa kwanza sio "first saved" ni "first served"
 
hivi uo usemi kwa akili yangu ya brn si naweza sema "wa kwanza kuingia ndiye wa kwanza kuhudumiwa" sasa kwa hapo kwenye kuapply maana yake kama chuo kinahitaji watu 10 then wakaomba watu 20 basi wale kumi wa kwanza ndio watakua wakwanza kuhudumiwa. Au nimekosea jamani maana english nayo ni lugha ya pili kwetu uku
 
hivi uo usemi kwa akili yangu ya brn si naweza sema "wa kwanza kuingia ndiye wa kwanza kuhudumiwa" sasa kwa hapo kwenye kuapply maana yake kama chuo kinahitaji watu 10 then wakaomba watu 20 basi wale kumi wa kwanza ndio watakua wakwanza kuhudumiwa. Au nimekosea jamani maana english nayo ni lugha ya pili kwetu uku
100/100 excellent!!
 
Kama kapotosha tunaomba urekebishe. . . Na sio kusema umekosa na jibu hulijui. Naomba utueleze ndugu

Haya mkuu boyfriendy hapo juu ashaelezea maana yake nadhan na ww ushaelewa sasa teh teh teh
 
100/100 excellent!!

sasa mbona sentence fupi ila watu wanatoa maelezo kurasa 6 inakuaje au ilikosewa kuandikwa maana aya maneno muda mwingine ukikosea kuandika yanaleta maana nyingine kabisa mfano iwe "serve" then uandike "save" lazima uingie chake
 
Back
Top Bottom