usichanganyikiwe,Capacity ikionyesha 0 inamaanisha wamba watu wanaohitajika wameshapatkana kwahiyo unaweza kuwa miongoni mwao.Wewe subiri matokeo tu
heath imenigomea ,,inataka aliyesoma Geog
ila nyie wa nacte nasikia kuna baadhi ya vyuo vimeshatoa majina ya waliochaguliwa😃
Kidumu chama cha Mapinduzi..
wakuu heshima kwenu naomba nisaidiwe nimekwama kidogo nimekuta choices zangu ziko vilievile pamoja na capacity zake na sijaona sehemu ya kuconfirm msaada tafadhali
Unaposema choice zako ziko vile vile unamaanisha nn mkuu?
Kwasababu walioapply diploma wameshachaguliwa ila wakiingia kwenye machaguo yao yale matano wanayakuta kawaida ila kilichochange ni priority capacity, nikimaanisha kama chuo kilikuwa kinahitaji watu 40
Na kimepata watu 25 bac preority itasoma 15,
ivyo ivyo mpaka mwishowe chuo kikijaa bac itaonyesha priority capacity ni 0
Ishu inakuja hapo unaposema sehemu ya kuconfirm,
Cjaelewa vzur unataka kuconfirm nn?
ao wa NACTE wamechaguliwa lakini mbona kwenye profile zao hakuna ujumbe wowote kuwajulisha kama mtu amechaguliwa?
ao wa NACTE wamechaguliwa lakini mbona kwenye profile zao hakuna ujumbe wowote kuwajulisha kama mtu amechaguliwa?
Habari Wana jamii wenzangu, mimi nilifanya application Nacte baada ya Muda nikakuta umebaki choice moja na upande wa status imeandikwa selected, but tarh za hapa juzi nakuta choice zimerudi kama awali na chuo kilichokuwa selected capacity unasoma 0, kiukweli nime panic ndugu zangu naombeni msaada hapo nn kinaendelea?