Sonffrey
Member
- Jan 3, 2014
- 6
- 2
Jaman kuanzia tareh 9 tcu wali update profile za wafunzi wote ambao wameomba vyuo mbalimbali.wale ambao walibahatika kufungua account zao wapo ambao waliambiwa wamepata na wapo waliokosa.waliokosa wslikuta notification inayowataka wa appy second round kwa chuo kimoja tuu .kwa sasa cas haifunguki na kuna watu wengi sana hawajajua kuwa account zao zimeandikiwa je!!!? Je deadline ya second round ni lini na tcu watatoa post lin naomba msaada kwen wana forum