TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Kwa maana hiyo wakiifungua tena hiyo website kuna uwezekano wa sisi tulooambiwa second round tukawa tushajaguliwa because system si umesema ina update
 
Niliandikiwa jana but skuichagua hiyo cozi moja kama walivyosema, so baada ya kuapdate hiyo system yao ,sisi wanaweza wakatuchagua bila ya kuapply tena second round???
 
Niliandikiwa jana but skuichagua hiyo cozi moja kama walivyosema, so baada ya kuapdate hiyo system yao ,sisi wanaweza wakatuchagua bila ya kuapply tena second round???

Subiri uone bt kama umeandikiwa second round lazma ureapply tena, bt wait usiwe na presha c unaona web yenyew imegoma.
 
Wana update kipindi hiki alafu majina wanatoa mwanzoni mwa mwezi Wa 10 apo sijaelewa mbona?
 
nimesoma pure art o level na advance kisha nikabahatika kusoma mifugo diploma liti mpwapwa.swali je ninaweza kupata nafasi nisome bachelor of animal science?
 
Kwa maana hiyo wakiifungua tena hiyo website kuna uwezekano wa sisi tulooambiwa second round tukawa tushajaguliwa because system si umesema ina update

Hv hyo second round unayoisemea mkuu ni kwamba profile yako neno lililipo n second round au validate program

"Means umejuwaje kwamba utakuwa second round?"

Kwasababu mara yangu ya mwisho kufungua profile yangu ni juz saa nane mchana,na ilipofika saa kumi jioni haikufunguka,

Nikatumiwa txt na best yangu,kwamba kwa macho yake kaona profile yake imeandikwa YOU ARE ADMITTED ONE OF INSTITUTIONS,

Nilipojarbu kufungua yangu haikufunguka till now, oky tuje kwako, ulihic lini kwamba ww n second round "n lini mara ya mwisho kufungua profile yako?"
 
Hivi na wale wengine walioomba nacte nao wameshaanza kufanya 2nd round ya application?!
 
Back
Top Bottom