TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

ukiona hivyo kuna baadhi ya vyuo vishaanza kusajili ndo maana capacity imepungua
 
Kwa walee ambaoo wameomba diploma udom kupitiaa mfumoo wa pamoja yaani (CAS).mbona profile zinaandikaa error ya email na password na wakati vyote vipo sahihi...?!!


Kuna nini nacte mwenye ufahamuu atujuzee jamaniii....
 
wapendwa nawakaribisha wote kuhuliza chochote kuusiana na chochote mpaka ivi sasa me ni mfanyakazi wa maeneo ayo
 
wapendwa nawakaribisha wote kuhuliza chochote kuusiana na chochote mpaka ivi sasa. Karibuni nyote
 
wapendwa nawakaribisha wote kuhuliza chochote kuusiana na chochote mpaka ivi sasa. Karibuni nyote
Nimeona kwenye profile yangu kuna o capacity na choice hazijachange bado na lini? majibu yatakuwa tayari
 
Naona cas.tcu.go.tz haipatikani tokea jana? Kuna tatizo au?
 
Back
Top Bottom