TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Nilifanya application online baada ya Muda nikakuta umebaki choice moja na upande wa status imeandikwa selected je inamaanisha hapo ndipo nilipo chaguliwa? naomba msaada wandugu.
 
Wadau naomba kujua hii RPL ndo nn hasa? Naiona kwenye web ya TCU ila hata sijui ndo kitu gani!
 
Kwa ajili ya watu wa dip ambao wana GPA isoruhusu kuomba chuo au kozi yoyt ya university,,,,, so lazma wafany mitahan ambayo ni mitatu katika vyuo vitano tu vilivyosajiliwa na program hyo!
Mfano, UDOM kwa masual ya eduction tu ndo utapga pepa pale ili upate GPA ya kwend chuo chcht.

Itaendelea.....
 
Recognition prior learning RPL iko badala ya mature age entry exms. hii hata darasa la saba aliye fanya kazi na uzoefu ktk upande fulani ana ruhusiwa kusoma degree baada ya kushinda mtihani, lazima awe na barua kutoka kwa mwajiri ikielezea utendaji wake wa kazi,kuna maelezo mengi soma ktk web ya tcu
 
Recognition prior learning RPL iko badala ya mature age entry exms. hii hata darasa la saba aliye fanya kazi na uzoefu ktk upande fulani ana ruhusiwa kusoma degree baada ya kushinda mtihani, lazima awe na barua kutoka kwa mwajiri ikielezea utendaji wake wa kazi,kuna maelezo mengi soma ktk web ya tcu

Ahsante kaka. Nmeelewa
 
Naombeni mnijuze, ukiingia kwenye profile za NACTE kwa aliyeomba degree programmes ukakuta admission capacity wameandika sifuri/zero "0" inakuwa na maana gani?
 
Bado database haija update lakini sio tatizo even TCU ilikuwa inaonyesha ivyo kwenye baadhi ya vyuo baadae ikawa.poa
 
mm nimeona capacity zimebadilika tu . mfano kama ilikua 240 imekua 170
 
Naombeni mnijuze, ukiingia kwenye profile za NACTE kwa aliyeomba degree programmes ukakuta admission capacity wameandika sifuri/zero "0" inakuwa na maana gani?

Yaani japo sijajua kama zimebadilika ila ukiona hivyo ujue hawasajili watu kwenye hizo program kutokea NACTE
 
Back
Top Bottom