TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Wakuu naombeni msaada,nimecheck deadline ya kufanya application TCU ni tarehe 30 august. juzi nlifanya malipo ya 50,000 kupitia tigo pesa nlipata namba yangu ya vocha vizuri,lakini kila nilipojaribu kufungua website yao ili nianze registration hiyo website haifunguki hadi leo hii.Naombeni mnisaidie shida ni nini,au kuna njia nyingine ya kuapply? ukizingatia siku zinaisha.
 
pole sana apo issue ni internet iko slow so weka lini ilivo faster ktk internat kama uko interior omba mtu aliye kwa network ya 3G akusaidie ku register@hellena
 
kwa aliesoma certificate na diploma lazima aweke vyeti vyote wakati wa usajili Nacte ?
 
samahan, naomba kujua jins ya kufngua profl lang mana kila nikijarb kuweka user name&paswod nlizo2miwa necta haifunguk
 
Wakuu, kwa wale wanaofahamu kujaza fomu za TCU+CAS, ukishamaliza kujaza kozi zote tano una-submit wapi? Sioni option ya ku-comfirm au ku-submit ukimaliza. msaada tafadhali!
 
hapo ndo mwisho mwenyew ilikuwa ivo nkauliza wakanambia nimemaliza
 
samahan, naomba kujua jins ya kufngua profl lang mana kila nikijarb kuweka user name&paswod nlizo2miwa necta haifunguk

weka email yako na pasword ulzotumiwa na NACTE hakuna mahala pa kuweka jina lako weka email yako tu.
 
wakuu, kwa wale wanaofahamu kujaza fomu za tcu cas, ukishamaliza kujaza kozi zote tano una-submit wapi? sioni option ya ku-comfirm au ku-submit ukimaliza. msaada tafadhali

Hata Mimi Nasubiri Majibu
 
Jamani hapo hizo priority mbonaaa sielewi maana naona priority 1..2.nakuendeleaa mwenye kujua anielekezee wakuu....
 

Attachments

  • 1440497773833.jpg
    1440497773833.jpg
    38.9 KB · Views: 177
Yani priority 1 ni idadi ya watu walioomba iyo course kua chaguo LA kwanza priority 2 pia ni idadi ya watu walioomba iyo course kua kipaumbele cha pili priority 3 same tu kwamba iyo course kuna watu wameipatua kipaumbele cha 3
 
Kwa anaefahamu wakuu ivi nacte na tcu wanauhusiano wowote na kama Wanao je mtu anayefanya application kuomba chuo kupitia nacte Je tangazo lolote litalotolewa tcu litamuhusu?Mfano Kuna watu wameambiwa wapeleke barua tcu ambao walishachaguliwa chuo Miaka ya nyuma awakwenda na wale ambao walienda wakaacha je mtu aliepata chuo kupitia nacte nae anatakiwa apeleke barua?
 
Wakuu nisaidieni nmetuma malipo via M pesa but sijapata token kutoka Tcu nafanyaje?
 
Wakuu nmefanya Malipo kupitia M Pesa ili niweze kufanya application kupitia Kamisheni ya vyuo Vikuu lakin sipatiwi Payment Id or vocher msaada cha kufanya kwa anaefahamu
 
Back
Top Bottom