TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

Siyo kweli deadline ni tar 15 aug
Ila mchakato wa second roll ndio utaendelea mpaka tar 31.
Hiyo ndio taarifa rasmi.
Sababu kunavyuo vinafungua mwez wa tisa

deadline ikishafika hautoweza kuedit, kuadd au kuromove selection yako ya vyuo, 2nd round inakuja kama wiki 2 baada ya deadline na deadline wao wenyewe wameandika 31st, labda tuambie kama profile yako haiwezekana kuedit manake mi yangu kuedit inawezekana bado
 
Mbona nikiingiza confirmation code.NACTE BD00X32 system inasema imekosewa? Shida iko wspi???
 
Hellow, samahanini ndugu. Kuna ndugu Yangu kakosea kwenye kufanya registration ya chuo through NACTE. Ameingiza mwaka ambao sio aliomaliza likaja Jina la mtu mwingine, nini Cha kufanya hapo?
 
Uliza kuhusu NACTE utajibiwa ila usiulize tarehe ya kutoa post zozote ulizoapply.
 
naomba nijue muhula wa masomo kwa vyuo vya afya serikali unaanza mwezi wa ngapi
 
na je kweny profil upand wa capacity kukiwa na zero ndio inamaanisha naomb kujua tafadhali
 
kila nikijaribu kuweza reg no ya diploma nalatewa ujuumbe huu
Examination/Graduation Year Names Mismatch with the names provided during registration, check the and try again (Code 4002)

kwa nini? au nifanye je ??
 
kila nikijaribu kuweza reg no ya diploma nalatewa ujuumbe huu
Examination/Graduationu Year Names Mismatch with the names provided during registration, check the and try again (Code 4002)

kwa nini? au nifanye je ??







unataka kuaaply au kama kuapply angaliaga na dead line
 
Back
Top Bottom